UDSM kuteseka na mgao wa maji ni aibu kwa Maprofesa na wasomi waliojaa UDSM

UDSM kuteseka na mgao wa maji ni aibu kwa Maprofesa na wasomi waliojaa UDSM

FRESHMAN

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2011
Posts
9,137
Reaction score
34,793
Habari wadau

Ninajiuliza why chuo kikuu chenye wasomi wengi.. cream of the nation kinashindwa kutatua tatizo la maji hata kwa matumizi yao tu ya chuo kikuu

Udsm wanategemea dawasco.. yaani dawasco wakikosa maji.. na chuo kikuu nacho kinateseka sawa sawa na mitaa yetu ambayo imejaa la 7b graduates

Ma engineer na wataalamu waliojaa pale hawawezi kusimamia uchimbaji hata visima kwenye eneo la chuo.. na kubuni mashine za ku treat water na kisha kupata maji safi na salama ambayo yatatumika na udsm community.

Yaani mwanafunzi wa udsm anaekaa main campus hostel ama magufuli hostel analia maji shida.. proffessor nae anaekaa kota hapo hapo udsm nae analia maji shida.

Hawa wasomi wa maji kazi yao ni nini sasa kama matatizo hawayatatui hata ya mwajiri wao tu
 
Habari wadau

Ninajiuliza why chuo kikuu chenye wasomi wengi.. cream of the nation kinashindwa kutatua tatizo la maji hata kwa matumizi yao tu ya chuo kikuu

Udsm wanategemea dawasco.. yaani dawasco wakikosa maji.. na chuo kikuu nacho kinateseka sawa sawa na mitaa yetu ambayo imejaa la 7b graduates

Ma engineer na wataalamu waliojaa pale hawawezi kusimamia uchimbaji hata visima kwenye eneo la chuo.. na kubuni mashine za ku treat water na kisha kupata maji safi na salama ambayo yatatumika na udsm community.

Yaani mwanafunzi wa udsm anaekaa main campus hostel ama magufuli hostel analia maji shida.. proffessor nae anaekaa kota hapo hapo udsm nae analia maji shida.

Hawa wasomi wa maji kazi yao ni nini sasa kama matatizo hawayatatui hata ya mwajiri wao tu
Du
 
Wasomi wa kwetu ni mwendo wa kudesa na kukariri vitini na past papers tu pia kupata GPA kali wakati kichwani hamna kitu, elimu inabaki kwenye vyeti na makaratasi tu.
 
Kama wapo huku wamekusikia,,naona walikuwa hawajui kuwa wanaweza kutumia utaalamu wao kutatua matatizo/changamoto zao wenyewe.
 
Kila taasisi ijenge miundombinu yake ya maji?
 
Inafikirisha sana kwakweli.....

Maana hapo jirani na chuo kuna wananchi wa kawaida kabisa wanatumia maji safi kabisa ya visima....
 
Habari wadau

Ninajiuliza why chuo kikuu chenye wasomi wengi.. cream of the nation kinashindwa kutatua tatizo la maji hata kwa matumizi yao tu ya chuo kikuu

Udsm wanategemea dawasco.. yaani dawasco wakikosa maji.. na chuo kikuu nacho kinateseka sawa sawa na mitaa yetu ambayo imejaa la 7b graduates

Ma engineer na wataalamu waliojaa pale hawawezi kusimamia uchimbaji hata visima kwenye eneo la chuo.. na kubuni mashine za ku treat water na kisha kupata maji safi na salama ambayo yatatumika na udsm community.

Yaani mwanafunzi wa udsm anaekaa main campus hostel ama magufuli hostel analia maji shida.. proffessor nae anaekaa kota hapo hapo udsm nae analia maji shida.

Hawa wasomi wa maji kazi yao ni nini sasa kama matatizo hawayatatui hata ya mwajiri wao tu
Mtaendelea na umasikini wenu wa fikra na Tanzania yenu
 
Kila taasisi ijenge miundombinu yake ya maji?

Lazima iwe na miundombinu yake binafsi ambayo itatumika kutatua matatizo yao ya maji na pia kutumika kufundishia kwa vitendo wanafunzi wake wa engineering na kozi zinazohusiana na maji
 
Hamna wasomi hapo kuna wajinga wajinga tu wenye uwezo wa kukariri
 
Lazima iwe na miundombinu yake binafsi ambayo itatumika kutatua matatizo yao ya maji na pia kutumika kufundishia kwa vitendo wanafunzi wake wa engineering na kozi zinazohusiana na maji
Miundombinu binafsi inategemea kama mahali walipo kuna source ya maji ardhini au mto uwe unapita.

Hata hivyo pale geti maji kuna source ya maji walijenga.
 
Habari wadau

Ninajiuliza why chuo kikuu chenye wasomi wengi.. cream of the nation kinashindwa kutatua tatizo la maji hata kwa matumizi yao tu ya chuo kikuu

Udsm wanategemea dawasco.. yaani dawasco wakikosa maji.. na chuo kikuu nacho kinateseka sawa sawa na mitaa yetu ambayo imejaa la 7b graduates

Ma engineer na wataalamu waliojaa pale hawawezi kusimamia uchimbaji hata visima kwenye eneo la chuo.. na kubuni mashine za ku treat water na kisha kupata maji safi na salama ambayo yatatumika na udsm community.

Yaani mwanafunzi wa udsm anaekaa main campus hostel ama magufuli hostel analia maji shida.. proffessor nae anaekaa kota hapo hapo udsm nae analia maji shida.

Hawa wasomi wa maji kazi yao ni nini sasa kama matatizo hawayatatui hata ya mwajiri wao tu
Wanawexa kulalamika mgao wa umeme.... Na hapo kuna maprofesa wabobezi wa solar energy
 
Hapo kuna shida sana!
Pia nasikia watumishi ( supporting staff) wanaomba kuhama, japo udsm wanatumia nguvu kuzuia uhamisho!

Nadhani watumishi wanashindwa kuwa creative sabab ya mazingira magumu ya kufanya kazi! wameamua liende tu.

Taasis kubwa kama UDSM ilipaswa kuwa mfano mzuri kwa taasis nyingine sababu ndio chimbuko la wataalamu wengi katika nchi yetu.
 
Mhusika mnojawapo alipaita 'jalalani'! Inabidi kuitafakari kauli hii.
 
Back
Top Bottom