johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Malengo ya UDSM hajawahi kua profit motivated hizo ni conflict of interest kila tasisi ikianza biashara malengo ya tasisi yatapotea kabisaNawasilisha kama Swali
Ahsanteni sana [emoji1]
Hahahaha, research ndio Hy imewafanya wajenge hizo FremuBaada yakuwekeza kwenye researches, technology nk.
Hawana strategic planners wange wekenza kuendena na Academic research, dawa technology IT AI nk lakini kwasababu akili zao sio tofauti sana nazawafanya biashara wa k koo wadarasa la saba waliwaiga tu.Baada yakuwekeza kwenye researches, technology nk.
Ungejua,usingeandika hivi.Elimu imewashinda....wanafunzi wanagraduate wanakosa kazi ni Bora...majengo yote ya UDSM yawe ya biashara chuo kikubwa kibaki UDOM mapato yatumike kufidia ada zetu tulizopoteza bure kwa kupewa useless Degrees na Diploma's.
Wametumia research,kwakua pale ubungo panafunguliwa Ile EAL wao wameona waje na Fremu ,msiwalamu sana ndio wasomi wenuHawana strategic planners wange wekenza kuendena na Academic research, dawa technology IT AI nk lakini kwasababu akili zao sio tofauti sana nazawafanya biashara wa k koo wadarasa la saba waliwaiga tu.
Navy piaBiashara ya Fremu inakua Kwa Kasi sana mjini, Jeshi wenyewe pale lugalo wamejaza fremu...huku Mitaani nyumba iliyo karibu na barabara zinaweka fremu
Taasisi za elimu ni mwendo wa fremu na kumbi, jeshi la ulinzi same pale lugalo. nchi ni mwendow a fremu kila chocho.Nawasilisha kama Swali
Ahsanteni sana π
Flemu ndio nini?Nawasilisha kama Swali
Ahsanteni sana π
Mkuu Fremu zinalipaTaasisi za elimu ni mwendo wa fremu na kumbi, jeshi la ulinzi same pale lugalo. nchi ni mwendow a fremu kila chocho.
IpoNawasilisha kama Swali
Ahsanteni sana π