Zinalipa lakini kwa taasisi za elimu na jeshi la ulinzi hazifai kufanya uwekezaji ambao hata raia asiyesoma anaweza kufanya hivyo. Yani pale lugalo mwendo wa fremu tu. Hebu waongeze juhudi kuboresha zile gari zao ziache kuwa na sura mbaya hivi zinaitwaje vile?Mkuu Fremu zinalipa