Inaitwa "Framenomics" hii ndiyo imekuwa bishara pendwa ya watanzia wa kada zote, wasomi wa PhD na wasiosoma, wakulima kwa wafanyakazi, maprofesa wa vyuo vikuu kwa walimu wa vidudu na hata makanisa na misikiti.
Si ajabu hata hata maeneo kama haya nayo tayari wana frame ili kuchanganyikiwa uchumi wa fremu
1. Msimbazi Centre
2. Magomeni Usharika KKKT
3. Magomeni Msikiti wa Kichangani
4. Lugalo Military base
5. Navy Kigamboni
6. Chuo cha Uhasibu Arusha
Inaonekana uchumi wa frame ndiyo ujuzi pekee ambao watanzania wanaupata na kuuelewa sana wanapotoka vyuoni