Aiylan wasalan
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 730
- 1,478
UD hawana tofauti na wabunge wengi,viinua mgongo vyao ni kujenga bar,Guest.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ilikuwaje ukasomea kitu ambacho hukijui?Ni moja ya degree mpya zilizoanzishwa UDSM, miaka ya 2010's. Just imagine unasoma degree ambayo intended industry, hawatambui kama hata ina exist! hivyo hata mifumo yao ya ajira, haiko considered, mwisho wa siku unakua entrepreneur, ni bora tungeenda short course za amazon College on entrepreneurship, leo hii ungekuta tunapanga Mlimani City Mall na kuajiri fellow brainwashed jobless from UDSM kama Sales executives.
Niliaminishwa na UDSMIlikuwaje ukasomea kitu ambacho hukijui?
Kwa namna ipi?Niliaminishwa na UDSM
Vyuo vikuu vya umma, vinatakiwa kuwa na miradi ya kuijingzia kipato cha zida, hiyo ni Moja wapo ya miradi endelevu, mingine ni ushauri elekezi (consulting services) e.t.c government funding always haitoshiNimoja ya vyanzo
Inaitwa "Framenomics" hii ndiyo imekuwa bishara pendwa ya watanzia wa kada zote, wasomi wa PhD na wasiosoma, wakulima kwa wafanyakazi, maprofesa wa vyuo vikuu kwa walimu wa vidudu na hata makanisa na misikiti.UDSM kuwekeza kwenye kumbi za mikutano na frame Mlimani City kuna tija ya msingi?
Nawasilisha kama Swali
Ahsanteni sana 😄
Kuna Estate ni dpt ya Chuo, na Kuna miradi ya departments (consulting, research etc)Iko hivi chuo huwa na vitengo mbalimbali (colleges & departments) ambavyo kila kitengo huwa kina makusanyo na vyanzo vyake vya uchumi
Nchi ya ajabu sana hii,kwamba mpaka chama huenda kimo,aiseee!Tayari ufisadi upo mwingi 1bn inao kusanywa pale haina clear accountability huenda hata chama kina mkono pale.
Hicho ndio nilikuwa namaanisha hivyo bila shaka hizo fremu zitakuwa ni mradi wa UDSM Estate na sio departmentsKuna Estate ni dpt ya Chuo, na Kuna miradi ya departments (consulting, research etc)
Exactly 💯%Hicho ndio nilikuwa namaanisha hivyo bila shaka hizo fremu zitakuwa ni mradi wa UDSM Estate na sio departments
Hatari sana.Elimu imewashinda....wanafunzi wanagraduate wanakosa kazi ni Bora kama wameona majengo na maeneo yote ya UDSM yawe ya kukodi kwa wafanyabiashara chuo kikubwa kibaki UDOM mapato yatumike kufidia ada zetu tulizopoteza bure kwa kupewa useless Degrees na Diploma's...nikiongea kwa niaba ya maelfu wa vijana waliomajob less since 2015 ! Mlimani is now way better kama eneo la biashara kuliko eneo la Elimu, kifutwe.
Research na technology bongo? Unachekesha. Fisiemu na viongozi wetu hawana hiyo misamiati. Wao ni fedha ya papo kwa papoBaada yakuwekeza kwenye researches, technology nk.
Vice wa Udsm ni Anangisye, huyo Sambo ni nani? Au mpya kaletwa hapo?Makamu mkuu wa chuo,Sambo
Tuko kwenye uchumi wa maframeBaada yakuwekeza kwenye researches, technology nk.
Tuko kwenye uchumi wa maframe
Ova
Wako sahihi, hiyo ni Directorate of Estate Services, huo uwekezaji unasaidia kumanage Physical infrastructure.Tuko kwenye uchumi wa maframe
Ova
Ni miradi ya watu binafsi.UDSM kuwekeza kwenye kumbi za mikutano na frame Mlimani City kuna tija ya msingi?
Nawasilisha kama Swali
Ahsanteni sana 😄