UDSM, MUHAS & UDOM Vinashika Nafasi Tatu za juu kwa Vyuo Vikuu Kumi Bora Tanzania

UDSM, MUHAS & UDOM Vinashika Nafasi Tatu za juu kwa Vyuo Vikuu Kumi Bora Tanzania

Screenshot_20220701-175448_Chrome.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_20220701-175448_Chrome.jpg
    Screenshot_20220701-175448_Chrome.jpg
    73.7 KB · Views: 22
  • Screenshot_20220701-175436_Chrome.jpg
    Screenshot_20220701-175436_Chrome.jpg
    71.5 KB · Views: 21
  • Screenshot_20220701-175403_Chrome.jpg
    Screenshot_20220701-175403_Chrome.jpg
    68.5 KB · Views: 22
  • Screenshot_20220701-175307_Chrome.jpg
    Screenshot_20220701-175307_Chrome.jpg
    74.8 KB · Views: 23
  • Screenshot_20220701-175244_Chrome.jpg
    Screenshot_20220701-175244_Chrome.jpg
    73.7 KB · Views: 20
  • Screenshot_20220701-175448_Chrome.jpg
    Screenshot_20220701-175448_Chrome.jpg
    73.7 KB · Views: 18
Baada ya kufanya utafiti mdogo kuhusu vyuo kumi bora Tanzania, nimejiridhisha vya kutosha vyuo nitakavyo vitaja hapa ndivyo vyuo kumi bora kwasasa hapa Tanzania. Katika utafiti huu mdogo nimezingatia machapisho ya chuo husika kwenye international journals, tafiti za chuo husika, mchango wa chuo husika katika suala zima la maendeleo na vyanzo vikuu nane vinavyo toa orodha ya vyuo bora katika nchi mbali mbali na duniani kwa ujumla, ambavyo vyanzo hivyo ni www.webometric.com, www.TimesHigherEducation.com, www.AcademicRankingofWorldUniversities.com, www.Quacquarellisymonds.com, www.EduRank.com, www.ShanghaiRankingConsultancy, www.UniversityGru.com bila kuisahau TCU.

Kwasasa hapa Tanzania vyuo vifuatavyo ndivyo vyuo kumi bora

1. University of Dar es salaam(UDSM)- Acceptance 75%
View attachment 2278312


2. Muhimbili University of Health and Allied Sciences(MUHAS)- Acceptance 68%

View attachment 2278314

3. University of Dodoma (UDOM)- Acceptance 65%
View attachment 2278303

4. Sokoine University of Agriculture(SUA) - Acceptance 63%
View attachment 2278304

5. Ardhi University- Acceptance 58%
View attachment 2278321

6. Mzumbe University- Acceptance 48%
View attachment 2278306

7. Nelson Mandela African Institution of Science and Technology- Acceptance 48%

View attachment 2278307

8. State University of Zanzibar-Acceptance 41%

View attachment 2278308

9. Hubert Kairuki Memorial University-Acceptance 36%
View attachment 2278315

10.ST Joseph University of Tanzania- Acceptance 33%

View attachment 2278310



N.B
Katika kufanya upembuzi wangu huu, sijatumia chanzo kimoja ili kupata ranking hii, hapa nimetumia vyanzo nane vinavyojihusisha na ranking za vyuo vikuu kama nilivyozitaja huko juu.

Wanafunzi na wazazi hivi ndivyo vyuo vikuu vya hapa Tanzania ambavyo mwanafunzi/mtu anaweza kusoma na kutambulika ndani na nje ya nchi kirahisi.

Imeandikwa na Annunaki.
Mkuu sikubaliani na ww baadhi, ila inawezekana ukawa sahihi pia, hasa hapo kutotumia chanzo kimoja cha ranks. Watu wanachotaga reference moja tu nakuja kutubandikia humu wanasahau kwamba hizo ranking ubadilika kila mwaka.
 
Mkuu sikubaliani na ww baadhi, ila inawezekana ukawa sahihi pia, hasa hapo kutotumia chanzo kimoja cha ranks. Watu wanachotaga reference moja tu nakuja kutubandikia humu wanasahau kwamba hizo ranking ubadilika kila mwaka.
Rank hizo ni Kama rank za matajiri, hubadilika kila mwaka. ndio
Kwa mwaka huu ipo hivyo
Ila pamoja na kubadilika huko usije kutegemea TEKU inaweza kuwa juu ya UDSM
 
KILE CHUO KIKUU CHA KILIMO PALE MOROGORO WANAJIONA WAKO VIZURI ILA KUMBE NAFASI YA NNE?
UKIWA NAO WANAFUNZI WANAONA WANASOMA VITU VIGUMU KUMBE NI HIVIHIVI TU,NA WAALIMU WAO VILE VILE WANADHANI WANA CHUO BORA KULIKO VYOTE TANZANIA.
SUA BANA KWA KUJITAPA WAKO NJEMA.
Nenda ukasome sua mwez mmoja tu,,, uje urudie kucomment hiv [emoji23]
 
Baada ya kufanya utafiti mdogo kuhusu vyuo kumi bora Tanzania, nimejiridhisha vya kutosha vyuo nitakavyo vitaja hapa ndivyo vyuo kumi bora kwasasa hapa Tanzania. Katika utafiti huu mdogo nimezingatia machapisho ya chuo husika kwenye international journals, tafiti za chuo husika, mchango wa chuo husika katika suala zima la maendeleo na vyanzo vikuu nane vinavyo toa orodha ya vyuo bora katika nchi mbali mbali na duniani kwa ujumla, ambavyo vyanzo hivyo ni www.webometric.com, www.TimesHigherEducation.com, www.AcademicRankingofWorldUniversities.com, www.Quacquarellisymonds.com, www.EduRank.com, www.ShanghaiRankingConsultancy, www.UniversityGru.com bila kuisahau TCU.

Kwasasa hapa Tanzania vyuo vifuatavyo ndivyo vyuo kumi bora

1. University of Dar es salaam(UDSM)- Acceptance 75%
View attachment 2278312


2. Muhimbili University of Health and Allied Sciences(MUHAS)- Acceptance 68%

View attachment 2278314

3. University of Dodoma (UDOM)- Acceptance 65%
View attachment 2278303

4. Sokoine University of Agriculture(SUA) - Acceptance 63%
View attachment 2278304

5. Ardhi University- Acceptance 58%
View attachment 2278321

6. Mzumbe University- Acceptance 48%
View attachment 2278306

7. Nelson Mandela African Institution of Science and Technology- Acceptance 48%

View attachment 2278307

8. State University of Zanzibar-Acceptance 41%

View attachment 2278308

9. Hubert Kairuki Memorial University-Acceptance 36%
View attachment 2278315

10.ST Joseph University of Tanzania- Acceptance 33%

View attachment 2278310



N.B
Katika kufanya upembuzi wangu huu, sijatumia chanzo kimoja ili kupata ranking hii, hapa nimetumia vyanzo nane vinavyojihusisha na ranking za vyuo vikuu kama nilivyozitaja huko juu.

Wanafunzi na wazazi hivi ndivyo vyuo vikuu vya hapa Tanzania ambavyo mwanafunzi/mtu anaweza kusoma na kutambulika ndani na nje ya nchi kirahisi.

Imeandikwa na Annunaki.
How can a Fool conduct this Research. To conduct a Research and leave aside Genius based University like SAUT Mwanza shows how a Researcher is somehow Mentally Retarded.

The table stands as follows....

1. SAUT Mwanza
2. Mzumbe University
3. Ruaha University
4. Open University of Tanzania
5. Mwenge University
6. Dodoma University
7. SUA
8. TEOFILO Kisanji University
9. St. John University
10. UDSM

Am done.....!!!!
 
Bado UDSM ni chuo bora sana. Ni ndoto za watanzania karibu wote kusoma pale. Tena watu wengi waliokosa nafasi UDSM huwa wanaenda kusoma masters pale. Mimi sijasoma UDSM kwa sababu nilifeli form six.
 
How can a Fool conduct this Research. To conduct a Research and leave aside Genius based University like SAUT Mwanza shows how a Researcher is somehow Mentally Retarded.

The table stands as follows....

1. SAUT Mwanza
2. Mzumbe University
3. Ruaha University
4. Open University of Tanzania
5. Mwenge University
6. Dodoma University
7. SUA
8. TEOFILO Kisanji University
9. St. John University
10. UDSM

Am done.....!!!!
Hauko serious. SAUT wanaingia wenye three wengi tofauti na UDSM
 
Back
Top Bottom