UDSM: Tunaomba msaada wenu JF!

UDSM: Tunaomba msaada wenu JF!

Anti Usiwe Na Mashaka Na Mimi Kama Huniamini Basi Njooni Hata Kumi Au Kundi La Watu Wengi Tutaongea Wote Kwa Pamoja Au Ingia Pale Mlimani City Halafu Uniambie Tutakuwa Tunaongea Huku Tunatembea Watu Wasijuie Kinachoendelea .

Usijaribu kuharibu thread hii kama ulivyojaribu kuharibu ile nyingine siku kina Mike wamekamatwa na polisi. Huna haya wewe? kazi yako kufurahia wenzako wakipatwa na matatizo. Watu wanalia kwa uchungu wa mabomu ya polisi na wewe unaleta bangi hapa!
 
Wana JF
Wote mnamjua SHY aliavyo mbona mnakaa kimya anapata access na watoto wa wakulima ambao hawaipendi CCM.SHY yuko kazini badala ya sisi kuwasaidia hapa kwa uwazi SHY anataka kuwaona kwa pembeni .Kumbukeni SHY aliniletea Usanii wakati nina issue Muhimbili akaingia mitini lakini nikawahi kumpata baada ya kujiuliza alikuwa na maana gani kunipigia na akatokomea.SHY nakusihi waache watoto wa watu.Nyie wanafunzi kama mnanisoma nasisitiza mtajimaliza kukutana na shy hana msaada hata katika mpichango ni mtupu .Kama ana msaada aweke hapa tuone si Savoy mmeisha anajipanga na watu wake.
 
As always!

hapa ufisadi haupiti hata kwa sindano ya ganzi!

hupendi ukweli hasa unapotoka the opposite, umeingiza ufisadi L.O.L! nasubiri uCCM. Nawashauri wadogo zangu wanaUDSM mrudi madarasani, ahirisheni uchaguzi huo, muanze upya, mtampata mumtakaye na demokrasia itadumu baada ya kuweka mikakati yenye nguvu.
 
Ninawapa onyo wanafunzi wote wa UDSM kuwa na mawasiliano ya aina yeyote ile na SHY mnajimaliza .Ni traitor na hana msaada .Anadandia kila gari .Leteni hoja hapa JF inatosha.Achaneni kabisa ma SHY maana ni nishai sana mtaangamia .

Naona Magari Ya Ffu Yake Pale Hill Park Wapiganaji Wanakunywa Soda Na Maji Kuangalia Hali Ya Usalama Ilivyo Ndani Ya Chuo , Interne Cafe Zone Zimefungwa Na Biashara Kadhaa Zimefungwa , Bwana Anti Nimeshajua Ulipo Jamaa Yako Amenipigia Simu Wewe Njoo Tuonane Savei Baadaye Kidogo Saa 2 Hivi Nikitoka Huku


hebu jibu hii kwanza,haya maneno kweli au wanakudhania tu jamaa.
kama ni kweli tukuepuke mapema.
 
Wana JF
Wote mnamjua SHY aliavyo mbona mnakaa kimya anapata access na watoto wa wakulima ambao hawaipendi CCM.SHY yuko kazini badala ya sisi kuwasaidia hapa kwa uwazi SHY anataka kuwaona kwa pembeni .Kumbukeni SHY aliniletea Usanii wakati nina issue Muhimbili akaingia mitini lakini nikawahi kumpata baada ya kujiuliza alikuwa na maana gani kunipigia na akatokomea.SHY nakusihi waache watoto wa watu.Nyie wanafunzi kama mnanisoma nasisitiza mtajimaliza kukutana na shy hana msaada hata katika mpichango ni mtupu .Kama ana msaada aweke hapa tuone si Savoy mmeisha anajipanga na watu wake.

Lunyungu,

Nimewajulisha vijana wote waliokuwa wawasiliana na mimi kuwa wakae mbali na huyu Shy na so far wote wanamjua usnitch wake.
 
hupendi ukweli hasa unapotoka the opposite, umeingiza ufisadi L.O.L! nasubiri uCCM. Nawashauri wadogo zangu wanaUDSM mrudi madarasani, ahirisheni uchaguzi huo, muanze upya, mtampata mumtakaye na demokrasia itadumu baada ya kuweka mikakati yenye nguvu.

Ukweli mwenyewe umekushinda uakaanza kujichanganya ... ohh mara hakuna sababu ya kugoma ... ohhh mara ni vizuri wagome ili wapewe ruhusa ya kujichagulia viongozi wao?

Katika hili huwezi kupata vyote mama, hapa ni mawe tu na ukipotoka unaipata right there on your face .... slap!
 
Lunyungu, mie mgeni humu ndani, simjui vizuri Shy lakini nahisi ana jambo maana toka jana yuko maeneo ya mlimani na katika habari zake ni kuwatafuta Ant ufisadi na wanafunzi wengine. Mbona huleti habari mpya? Shy umewahoji VC et al? kama bado ondoka huna mpya shu shu shu
 
Lunyungu,

Nimewajulisha vijana wote waliokuwa wawasiliana na mimi kuwa wakae mbali na huyu Shy na so far wote wanamjua usnitch wake.

Kama umesha fanya hilo nashukuru maana wangaliweza kuangamia.SHY is a hell.Hana maana kabisa na msaada wote tunatolea hapa yeye anatolea kwa simu why ? Lazima wajiulize huyu jamaa si mtu kabisa .Yuko kazini na hana msimamo .Muepukeni kama ukimwi na kifua kikuu .Atawangamiza na JF wote mnajua mambo ya SHY .Ama mmesahau ?
 
Kama umesha fanya hilo nashukuru maana wangaliweza kuangamia.SHY is a hell.Hana maana kabisa na msaada wote tunatolea hapa yeye anatolea kwa simu why ? Lazima wajiulize huyu jamaa si mtu kabisa .Yuko kazini na hana msimamo .Muepukeni kama ukimwi na kifua kikuu .Atawangamiza na JF wote mnajua mambo ya SHY .Ama mmesahau ?

Huyu SHY hadi picha yake wamepewa ili wakimuona wapige nduru (yowe kwa kiswahili cha Kenya).
 
Mama Huwezi Kuandika Kitu Au Kuelezea Vitu Bila Kupata Vitu Hivyo Toka Kwa Pande Zote Mbili Na Mimi Sio Mshabiki Nataka Kuongea Na Wote Pamoja Na Hawa Wanaoleta Malalamiko Yao

Naona Wengi Wanashindwa Kwa Sababu Cafe Zote Za Udsm Zimefungwa Kwahiyo Huduma Ya Internet Kwao Inakuwa Ngumu Kidogo

Mimi Nataka Kuonana Angalau Na Mmoja Wa Wanafunzi Hawa Wanaogoma Nimeshakutana Na Mmoja Aliyerusha Jiwe Jana Pale Hall 6 Na Kutaka Kuumiza Wengine .
 
Ukweli mwenyewe umekushinda uakaanza kujichanganya ... ohh mara hakuna sababu ya kugoma ... ohhh mara ni vizuri wagome ili wapewe ruhusa ya kujichagulia viongozi wao?

Katika hili huwezi kupata vyote mama, hapa ni mawe tu na ukipotoka unaipata right there on your face .... slap!

Msomi wala usiwe na wasiwasi kabisa katika hili. Washauri wanafunzi wafuate ushauri wa Mwanakijiji na kuweka malalamiko yao kwenye maandishi. Wawe as precise as they can.

Meanwhile, vilio vyao vimesemwa hapa na wengi wameviona na sasa kinachofuata ni bango tu. Huyu Mkandara hawezi kukandamiza haki na demokrasia wakati ni yeye ndiye alikuwa ana-organize ya mambo ya demokrasia Tanzania kama sikosei.

Demokrasia lazima ioneshwe kwa vitendo na yote hayo yataanzia hapo chuoni. CCM hawawezi kuingilia chaguzi za wabunge (kama ule wa kiteto na kupiga watu) na wakawa hadi na ballz za kuingilia wasomi wetu.

Kwa hili waambie vijana kuwa wana bonge la support hapa JF na kilio chao kitasikiwa pia.



Kwi kwi kwi, mwepesi sana kusahau na mgumu kuelewa! Taratibu mwanamke. haya kwa heri ngoja nikatumikishwe na mkoloni mie.
 
....

Mimi Nataka Kuonana Angalau Na Mmoja Wa Wanafunzi Hawa Wanaogoma Nimeshakutana Na Mmoja Aliyerusha Jiwe Jana Pale Hall 6 Na Kutaka Kuumiza Wengine .

Hakuna aliyerusha mawe! unataka kuleta uliyowasingizia kina Mike kuwa ni magaidi! huna haya wewe!
 
Kwi kwi kwi, mwepesi sana kusahau na mgumu kuelewa! Taratibu mwanamke. haya kwa heri ngoja nikatumikishwe na mkoloni mie.

Of course, mie mwepesi sana kusahau na mgumu sana kuelewa propaganda za mafisadi. Lowasa alilamika sana kuwa mimi sitaki kuelewa maneno yake na I am glad nilikuwa siyaelewi.

Wanafunzi wamefuata kila taratibu na ushauri tuliowapatia hapa JF lakini Mkandara ameamua kuleta polisi na kuwapiga mabomu bila sababu yoyote.

Katika hili, uonevu lazima upingwe kwa nguvu zote!
 
Mama Huwezi Kuandika Kitu Au Kuelezea Vitu Bila Kupata Vitu Hivyo Toka Kwa Pande Zote Mbili Na Mimi Sio Mshabiki Nataka Kuongea Na Wote Pamoja Na Hawa Wanaoleta Malalamiko Yao

Naona Wengi Wanashindwa Kwa Sababu Cafe Zote Za Udsm Zimefungwa Kwahiyo Huduma Ya Internet Kwao Inakuwa Ngumu Kidogo

Mimi Nataka Kuonana Angalau Na Mmoja Wa Wanafunzi Hawa Wanaogoma Nimeshakutana Na Mmoja Aliyerusha Jiwe Jana Pale Hall 6 Na Kutaka Kuumiza Wengine .

Lunyungu, mie mgeni humu ndani, simjui vizuri Shy lakani nahisi ana jambo maana toka jana yuko maeneo ya mlimani na katika habari zake ni kuwatafuta Ant ufisadi na wanafunzi wengine. Mbona huleti habari mpya? Shy umewahoji VC et al? kama bado ondoka huna mpya shu shu shu

Shy toka jana hujapata maelezo ya pande zote!!!! Ahhh wapi!!!!usinidanganye, una kazi ingine tu hapo, si useme ukweli??usiwainngize watoto mkenge, na wewe kuna siku utaingizwa.
 
Shy toka jana hujapata maelezo ya pande zote!!!! Ahhh wapi!!!!usinidanganye, una kazi ingine tu hapo, si useme ukweli??usiwainngize watoto mkenge, na wewe kuna siku utaingizwa.

Mama,

Mwogope SHY kama ukoma. JF inamjua usnitch na jinsi alivyotaka kuiangamiza hii forum. Hana jipya huyo!
 
Anti unajipeleka kwenye modomo wa hatari nenda baadaye uje kushuhudia hapa.SHY si mtu wa kusogolea tafadhali kaeni mbali wanafunzi wa UDSM.Lete madai hapa na tuwasaidie SHY yupo kazini .Akisha waweka sawa anapata credit .Kaeni macho si kila mwana JF anaitakia Tanzania mema wengina mafisadi wako sisi na wao wazi hapa.SHY spare those kids achana tafadhali .


LUNYUNGU AND MWAFRIKA WA KIKE MNAWASI WASI WA BURE NA HUYU SHY... MIMI NAMJUA KWA KARIBU SANA NA FAMILIA YAKE YOTE NAIJUA KWA KARIBU SANA HUYU SI WA KUOGOPWA KABSAAA NA SIDHANI KAMA ANAVYOWATAFUTA HAO WANAFUNZI ATAWEZA KUONGEA NAO.......
 
Jana Niliondoka Kwa Shuguli Zingine Ndio Nimerudi Jioni Hii Kuendelea Na Mchakato Mzima
 
Back
Top Bottom