ndupa
JF-Expert Member
- Jan 25, 2008
- 4,403
- 148
hyo teku mbona kwenye rank za nbaa haipo?k.u.m.a wewe..
hata nafsi yako haijakusuta kijana??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hyo teku mbona kwenye rank za nbaa haipo?k.u.m.a wewe..
naona bado hujaamka...pitia hapa..mimi nasoma mzumbe university-law ,kiukweli UDSM ni baba lao walimu wa kutosha,inachukua vipanga wengi
Hao wanafunzi wa kibongo mnaowasifia mbona siwaoni kwenye international stage ? Maana tusije tukawa tunasoma mambo Yale Yale tunatoa mitihani mlemle na wasahihishaji ni wale wale af watoto wanakariri na kufaulu mwisho tunawaona wana akili .. akili ni kitu tofauti kabisa and I advice u msiendelee Ku judge Kwa hizi exams za CPA au psptb .. most of the questions ni copy and paste tena from past papers , nimeangalia Hii mitihani nikailinganisha na ya UK , ca na cips , isee sisi tunacheza maswali yetu ni very lame and cheap mtu anaweza kukaa ghetto akakesha mwisho akafaulu then unamwita mtaalam ? Shame ... wenzetu wamejaza case studies na practical issues ambayo ndo real education ... ! May be I should ask u a simple question ni watanzania wangapi wamepata hata kuajiriwa nje ya nchi Kwa Kazi za auditing , accounts and finance au procurement ?? Hapo utapata majibu very clear
mimi nasoma mzumbe university-law ,kiukweli UDSM ni baba lao walimu wa kutosha,inachukua vipanga wengi
Jamani wa moja ni moja tu hawezi kuwa mbili na siku zote kilicho bora zaidi kinazidi kujitenga na pumba.UDSM imendelea kutoa wasomi waliobobea na kutambulika na bodi ya uhasibu (NBAA) kwa kipindi kirefu sasa, wakati vyuo vingine vikifuata kwa mbali. Hata hivyo Chuo kikuu cha Kata bado hakipata kutoa mtaalamu wa aina hiyo japo kuna vyuo vingine vikongwe ambavyo navyo kama wasindikazaji kama makarani wa mahesabu na Ukaguzi.source/NBAA/2013/ INSTITUTIONAL ASSESSEMENT REPORT
Duh!ina maana TIA nayo imeipiga bao mzumbe?
Na sisi wanaUDSM tumezidi ukiritimba, kujilinganisha na makapa ni sawa na kujidhalilisha, level zetu ni akina zulu natal, pretoria, joharnesburg nk nk...
mimi nasoma mzumbe university-law ,kiukweli UDSM ni baba lao walimu wa kutosha,inachukua vipanga wengi
Duh!ina maana TIA nayo imeipiga bao mzumbe?