Uduvi ndio kitu gani huko nyie watu wa Dar es Salaam?

Uduvi ndio kitu gani huko nyie watu wa Dar es Salaam?

Kamba wadogo wale, nae asibeze biashara za watu sababu kakalia kiti, watu tumesomeshwa na kutoboa kwa hizo hizo biashara.
Aache Dharau Watu Wametoboa Maisha Kwa Kuuza Pombe Boha, Mnazi, Ulanzi, Chimpumu
 
huyu mwamba akiamkaga na mipombe kichwani anabwatuka kila kinachomjia akilini haisahangazi ndio laana zenyewe hizo za kupigia promo manabii wa uongo kina mzee wa wese kila kalambishwa percent ,nchi ngumu sana hiyo. yani bogo mtu akiwa na kajicheo tu ama vijihela anadharaauuuuuuuuuuuu
 
Kamba wadogo wale, nae asibeze biashara za watu sababu kakalia kiti, watu tumesomeshwa na kutoboa kwa hizo hizo biashara.
Mtoa hapo aende kutafuta ajira nampa miezi mitatu akiipata niko pale.

Hawq viongozi wetu ni shida sana
 
Ameongea ukweli kama ukimsikiliza ukiwa positive, Mwanaume lazima upambane saana kazi za kimama waachie wanawake yuko sahii, kama una ndoto kubwa.
Upo sahihi mkuu ila tatizo lipo kwenye uwasilishaji,


Sidhani kama ni sahihi kusema kua ''Kijana wa kiume kuuza uduvi utaolewa''
au alikua ana maanisha nini kwa kusema hivyo?
 
Back
Top Bottom