OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Watu wa Daslamu mna mambo mengi sana. Huu uduvi anaoubeza MKuu wa Mkoa ni kitu gani? Kuna mwanaJF humu anauza uduvi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aache Dharau Watu Wametoboa Maisha Kwa Kuuza Pombe Boha, Mnazi, Ulanzi, ChimpumuKamba wadogo wale, nae asibeze biashara za watu sababu kakalia kiti, watu tumesomeshwa na kutoboa kwa hizo hizo biashara.
Uduvi ni uvuvi..View attachment 3189186
Watu wa Daslamu mna mambo mengi sana. Huu uduvi anaoubeza MKuu wa Mkoa ni kitu gani? Kuna mwanaJF humu anauza uduvi?
Kwenu hamna Dagaa.View attachment 3189186
Watu wa Daslamu mna mambo mengi sana. Huu uduvi anaoubeza MKuu wa Mkoa ni kitu gani? Kuna mwanaJF humu anauza uduvi?
Ataondoka usijali, kizimkazi hakurupukiKuolewa kumekujaje hapo na inakuwaje bado yuko ofisini🤔🤔!?
Dagaa nyama wanaitwa hivyoView attachment 3189186
Watu wa Daslamu mna mambo mengi sana. Huu uduvi anaoubeza MKuu wa Mkoa ni kitu gani? Kuna mwanaJF humu anauza uduvi?
Mtoa hapo aende kutafuta ajira nampa miezi mitatu akiipata niko pale.Kamba wadogo wale, nae asibeze biashara za watu sababu kakalia kiti, watu tumesomeshwa na kutoboa kwa hizo hizo biashara.
Watoto wa samaki.. Ama samaki mbegu fupi(mbilikimo) watoto njiti wa samaki kwa jina lingineView attachment 3189186
Watu wa Daslamu mna mambo mengi sana. Huu uduvi anaoubeza MKuu wa Mkoa ni kitu gani? Kuna mwanaJF humu anauza uduvi?
Anasema ukweli ingawa kuna watu watambeza ila ndio ukweli ingawa ni mchungu kumeza.View attachment 3189186
Watu wa Daslamu mna mambo mengi sana. Huu uduvi anaoubeza MKuu wa Mkoa ni kitu gani? Kuna mwanaJF humu anauza uduvi?
Anahamasisha ugasho kijanjaKuolewa kumekujaje hapo na inakuwaje bado yuko ofisini🤔🤔!?
Hana akiliAnahamasisha ugasho kijanja
Hakuwaza kabisa kutoa kauli ya hovyo namna hiyoAtaondoka usijali, kizimkazi hakurupuki
Upo sahihi mkuu ila tatizo lipo kwenye uwasilishaji,Ameongea ukweli kama ukimsikiliza ukiwa positive, Mwanaume lazima upambane saana kazi za kimama waachie wanawake yuko sahii, kama una ndoto kubwa.
Hapana, dagaa nyama ni dagaa mchele,uduvi ni wale kamba wadogo.Dagaa nyama wanaitwa hivyo