Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ChelseafcReal Madrid [emoji736]
Bayern Munich [emoji736]
Napoli [emoji736]
Benfica [emoji736]
Nilibashiri na imetokea🫡🫡nategemea timu mbili za Italy zitakutana zenyewe
Bayern hawezi kucheza fainali na Chelsea kwasababu wapo upande mmoja. Hivyo kama wote watafuzu basi watakutana nusu fainaliNaiona fainali ya 2012 Bayern vs Chelseafc ikijirudia.
Anawakwepaje hao Man city na Bayern? Laba kwa kutolewa na Chelsea, ila kinyume na hapo anadndokea kati ya Man city au Bayern kwenye nusu fainali.Madrid hakutani na Beyern wala man city wala Napoli Hadi fainali...
Hizi draw ziko fixed
Ugumu wake nn mkuu hao ndio miamba ya soka barani ulaya halafu unasema njia ni ngumu mkuu?Napoli kabeba ndoo wakuu.Njia ya Madrid na Bayern ni ngumu balaa..
Tobaaaaaaaaah, citizens tumetokaaaaaaaaFirst draw
Real madrid vs Chelsea
Second draw
Inter vs Benfica
Third draw
Man city vs Bayern Munich
Fourth draw
AC Milan vs Napoli
Nakubalii uko sahihi.Real Madrid [emoji736]
Bayern Munich [emoji736]
Napoli [emoji736]
Benfica [emoji736]
Madrid na Bayern watakutana semi final.Ugumu wake nn mkuu hao ndio miamba ya soka barani ulaya halafu unasema njia ni ngumu mkuu?
Pamoja ya kuwa ndio timu yangu tokea kitambo hadi sasa, lakini hadi kufikia hapa ni kibahati tu. Napoli anaweza kutuumbua maana timu imepwaya mno hadi kwenye serie A ina struggle hata kwa timu zinazoburuza mkia.Ac milan sijui wamefikafikaje hapo
Napoli ni kama Nyuki, sema hii michuano ina mentality yake, usijeshangaa Milan akamtoa NapoliPamoja ya kuwa ndio timu yangu tokea kitambo hadi sasa, lakini hadi kufikia hapa ni kibahati tu. Napoli anaweza kutuumbua maana timu imepwaya mno hadi kwenye serie A ina struggle hata kwa timu zinazoburuza mkia.
Hawa jamaa ukiingia kwenye kopi yao lazima wakutandike ipasavyo, wanakaba kwa haraka na kasi ili kukulazimisha ufanye makosa wakakuadhibu.Napoli ni kama Nyuki, sema hii michuano ina mentality yake, usijeshangaa Milan akamtoa Napoli