cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapanaa nachunguliaga tyuuh, mwaka huu enyewe, EPL arsenyani wanataka kutuporaaa,Kwaiyo ndio ukaamua kutukimbia jumla kwenye jukwaa la the cityzens.
Msimu huu tunabeba ndoo iyo.
Na huku UCL hatuelewi itakuajeee daaah.