UEFA champions league 2022/23 quarter final draw prediction

UEFA champions league 2022/23 quarter final draw prediction

A
atu bhana kwani huezi toa hoja yako simplify bila kuanza ooh sijui mpira umeanza kuona juzi 😃😃
Angekuwa kaanza kuangalia kitambo asingesahau Ryan babel na ule mshuti aliowapiga arsenal goli la nne,au game ya man v arsenal,ni za juzi tu 2007-9
 
A
atu bhana kwani huezi toa hoja yako simplify bila kuanza ooh sijui mpira umeanza kuona juzi 😃😃
Angekuwa kaanza kuangalia kitambo asingesahau Ryan babel na ule mshuti aliowapiga arsenal goli la nne,au game ya man v arsenal,ni za juzi tu 2007-9
Hata kukoti text huezi em nitolee stress zako hapa

Usiforce kila mtu aamini unachoamini wewe
 
Bahati ambazo huwa anazo Real Madrid na Liverpool halikadhalika Chelsea huwa na bahati na hilo kombe, mpira huwa haukaririki kimatokeo.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Liverpool huwa Hana bahati na Hilo kombe Bali huvuja haswa jasho na damu,Madrid ndiye mwenye bahati na mauzauza mengine kwenye Hilo kombe...
 
Back
Top Bottom