Malafyale
Platinum Member
- Aug 11, 2008
- 13,833
- 11,173
Mkuu Ac Milan katoka na Chelsea kundi moja, hawawezi kukutana.
Robo final haina hiyo
Unakutana na yyt
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu Ac Milan katoka na Chelsea kundi moja, hawawezi kukutana.
😀😀😀 dah mkuu una asili ya kubisha eeeh!Nishaiona lakini nadhani haiwezi tokea labda wakutane fainali
Hapana ninaasili ya kusimamia na ninachokiamini😀😀😀 dah mkuu una asili ya kubisha eeeh!
Hata kukoti text huezi em nitolee stress zako hapaA
atu bhana kwani huezi toa hoja yako simplify bila kuanza ooh sijui mpira umeanza kuona juzi 😃😃
Angekuwa kaanza kuangalia kitambo asingesahau Ryan babel na ule mshuti aliowapiga arsenal goli la nne,au game ya man v arsenal,ni za juzi tu 2007-9
Umevaa Pedi!?Hata kukoti text huezi em nitolee stress zako hapa
Usiforce kila mtu aamini unachoamini wewe
ExactlyMkuu Ac Milan katoka na Chelsea kundi moja, hawawezi kukutana.
Bahati ambazo huwa anazo Real Madrid na Liverpool halikadhalika Chelsea huwa na bahati na hilo kombe, mpira huwa haukaririki kimatokeo.Blues walivyo unga,kwa benfica itakua shida sana
Msimu huu tutawapasua.Hamkomi tu.
Liverpool huwa Hana bahati na Hilo kombe Bali huvuja haswa jasho na damu,Madrid ndiye mwenye bahati na mauzauza mengine kwenye Hilo kombe...Bahati ambazo huwa anazo Real Madrid na Liverpool halikadhalika Chelsea huwa na bahati na hilo kombe, mpira huwa haukaririki kimatokeo.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
2021 mlikuwa Manabii uchwara hivi hivi, sijui kwanini huamini mpira huwa unadunda.Sa
po vizuri sana, lakini naamini hii ndoo tunachukua the cityzens.fari hii
Safari hii city analibeba
Ucheke nini sasa team zimefungana same matches unaongea nini?kye kye kye kyeee...hapo kwanza ngoja ncheke!!!
Mpira hudunda Ila siyo kwenye tope2021 mlikuwa Manabii uchwara hivi hivi, sijui kwanini huamini mpira huwa unadunda.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Sababu madrid alitutoa kimiujiza miujiza pale bernabeu basi watu washaona madrid ni mbabe wa city.Ucheke nini sasa team zimefungana same matches unaongea nini?
Lakini ukipewa facts inabidi ukubali tu.Hapana ninaasili ya kusimamia na ninachokiamini
Mkuu hio ni blog tu si unajua mablogger watafanya chochote site yao iwe visitedLakini ukipewa facts inabidi ukubali tu.
Ile sio blog mkuu, ni official page ya UEFA, rudi tena ukaongeze maarifa mkuu😀Mkuu hio ni blog tu si unajua mablogger watafanya chochote site yao iwe visited
Mimi nasubiri ijumaa tu
Ila naturally si ni blog au web kama zingineIle sio blog mkuu, ni official page ya UEFA, rudi tena ukaongeze maarifa mkuu😀