Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bahati mbona mwaka Jana kuazia mtoano kapiga wakubwa wote mpaka ubingwa halafu unasema bahatiMadrid wanabebwa na vibahati uchwara tu akikutana na wababe wenzie, liva ni wabovu ndio maana kawaonea.
Tunamtaka atueleze zile goli 2 za jioni alitufunga vipi.
Sio web kama zingine mkuu, hiyo ni official Web page ya uefa mkuu. Sheria, kanuni, miongozo ya mashindano yoyote ndani ya uefa utayakuta hapo.Ila naturally si ni blog au web kama zingine
Am a well informed person more than you think don't underestimate me that much 😂😂
Mimi nasubiri official draw maneno maneno hapana kwasasa kila mtu asimame na anachoamini
Wewe ni muha?Ishu yangu ni kuwa webpage/blog yeyote hutengeneza any info ambayo inajua italeta visitors wengi ila hizo info zinaeza zisiwe na mashiko yeyote
So as long as bado hawajatoa official statement ya draw sio mbaya kila mtu aamini na anachoamini
Wewe nae unaongeaga kama unagunzi matakoniHii ndoo Chelsea tunabeba nani anabisha?
Kwenye mpira wa ulaya hakuna kitu kinaitwa bahati mkuu.Angalia magoli waliyokuwa wanafunga (dhidi ya PSG,Chelsea first leg na man city second leg), unaona kabisa ni bahati ndio iko upande wao.
Naona ulikua unatwanga maji kwenye kinu brother.Sio web kama zingine mkuu, hiyo ni official Web page ya uefa mkuu. Sheria, kanuni, miongozo ya mashindano yoyote ndani ya uefa utayakuta hapo.
Anyway, kwa vile umesema upo well informed, halafu hapo hapo hutaki kukubali kuwa uefa CL knock out stage yoyote anakutana na yoyote, tukubali kutokubaliana mkuu.
Hahaha, Jamaa mbishi kisenge, halafu anachokibishia sasa! anawekewa mpaka reference bado anabisha, anawabishia mpaka uefa wenye mashindano yao.Wewe ni muha?
Ndio maana nikamuuliza ni muha 😂Hahaha, Jamaa mbishi kisenge, halafu anachokibishia sasa! anawekewa mpaka reference bado anabisha, anawabishia mpaka uefa wenye mashindano yao.
Sa info hazina mashiko wakati umeambiwa hizo ni rules zinazoongoza mashindano kutoka kwenye tovuti rasmi ya uefa!Ishu yangu ni kuwa webpage/blog yeyote hutengeneza any info ambayo inajua italeta visitors wengi ila hizo info zinaeza zisiwe na mashiko yeyote
So as long as bado hawajatoa official statement ya draw sio mbaya kila mtu aamini na anachoamini
Natamani sana kombe liende Italy safari hii, hasa kwa Napoli au laasivyo basi Ac Milan wapunguze gap lao na Real Madrid. Ila sioni kwa Ac kutoboa maana timu bado kabisa haps wamefuzu kibahati. Bayern na. Madrid wanaweza kuwa kikwazo kwa Napoli.Bingwa ni NAPOL
Screen shot hii.
Unakatwa na mimi..mkuu hii Chelsea wee inayionaje wewe?Wewe nae unaongeaga kama unagunzi matakoni
Unakatwa na mjomba wakoUnakatwa na mimi..mkuu hii Chelsea wee inayionaje wewe?
Madrid kwenye UCL wanakua km wapyaaaaa, hujawajua wee.Madrid wamepoa wale hata Man city anawatoa [emoji23][emoji23]
Mmmmh Madrid kwenye UCL wanakua km wapyaa vile, naogopaaa.Bayern na Napoli ndio nawawaza, Madrid tunapiga.
Sio kwenye UCL aseeeeh, weeUsijali mna jini Halaand nyie mnachotakia ni kua na imani nao
Hata Chelsea alicheza na man city, cheltako alinyanyua kwapaaa.Haiwezekani labda kue na sababu maalum ya kufanya hivo
Tangu nifatilie sijawai ona timu kwenye ligi moja zikavaana labda kwenye fainali ile ya Spurs na Liverpool ila kwa makundi ya mitoano haiwezekani