UEFA champions league 2022/23 quarter final draw prediction

UEFA champions league 2022/23 quarter final draw prediction

Tobaaaaaaaaah, citizens tumetokaaaaaaaa
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Na bayern nao huko wana kiwewe hivihivi, tunaogopana.

Ngoma ni 50/50, ngoja tusubiri mbungi.
 
Bayern chali, kafa vibaya mno, na Benfica aliyepewa nafasi mbele ya Inter nae kafa vibaya mno. Msimu huu timu moja wapo kutoka Italy itacheza fainali. Napoli nilimpa nafasi mbele ya Ac Milan lakini kile kipigo cha goli 4 kwa 0 walichokipata Napoli juzi dhidi ya Ac Milan kimenistua sana. Hivyo Napoli nae aliyepewa nafasi na wengi anaweza kwenda na maji na yeye
 
Kombe hili linatakiwa liende Italy msimu huu, vijana wa San Siro na San Paolo wakomae kwenye fainali wabebe kombe hili. Maana lazima kwa vyovyote vile lazima fainali ichezwe dhidi ya timu kutoka Italy, labda itokee Benfica kapindua meza kibabe dhidi ya Inter.
 
Tushittt umegarafazwa. Safi sana. Wale waliokua wanamwita mbabe wa Pep wako wapi?
 
Kombe hili linatakiwa liende Italy msimu huu, vijana wa San Siro na San Paolo wakomae kwenye fainali wabebe kombe hili. Maana lazima kwa vyovyote vile lazima fainali ichezwe dhidi ya timu kutoka Italy, labda itokee Benfica kapindua meza kibabe dhidi ya Inter.
Bila kupepesa macho hakuna timu ya Italy ya kubeba kombe na Kwa fainali ni heri aende AC Milan au Inter Napoli Wana utoto mwingi sana yule winga wao na 77 bila victor uwanjani anaonekana anazunguka zunguka tu
 
Pamoja ya kuwa ndio timu yangu tokea kitambo hadi sasa, lakini hadi kufikia hapa ni kibahati tu. Napoli anaweza kutuumbua maana timu imepwaya mno hadi kwenye serie A ina struggle hata kwa timu zinazoburuza mkia.
They are out. I mean Napoli.
 
Napoli ilibidi watoke tu wanacheza game ya champion leauge Tena game ya mtaona kama wanacheza mechi ya ligi pongezi Kwa Milan na kipa wao Kwa kucheza penati Ac Milan hakuna namna inabidi aende fainali tu
 
Hili nimeona linazungumziwa na watu wengi sana mpaka wengine wameenda mbali na kusema kuhusu swala la rangi ( ubaguzi wa rangi)
KATIKA mipira michache aliyolishwa mojawapo ndio umezaa like goli, nimeshangaa sana,
 
Back
Top Bottom