Guasa Ambonii
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 8,545
- 10,283
hahaaahaaahaah....pnc mkaanga sumu maarufu kutoka catalunyaTEAM ATLETICO DE MADRID safari hii hatutaki mbeleko mpira uongezwe dakika 3 goli lifungwe dakika ya 94. LEO NIMESAJILIWA NA SIMEON KWA MKOPO.
PUNDA AFE MZIGO UFIKE
kokeeeeeee Greezmaaaaan Saaulllllll Toreeeeeees
ZIDANE NILIKUFAGILIA ULIPOKUWA UFARANSA ILA KWA LEO NISAMEHE SAAANA
My Take: Zidane ashoneshewe suruali vzur Sipendi tabia ya mafundi kumpunja uzi wa nguo
daaaaaaahhh..nasikitika kukupa taarifa kwamba leo tutakua wapinzani mpaka fainali iishe....maana naona watoto wa barca wote mmeamia kwa el cholloAll the best AM.....
Today iz today, whom say tomorrow is a liar(leo ndio leo, asemae kesho muongo) huku atletico madrid huku real madrid.
Hawa wakishua hawa wahuni, wabishi wa jiji. Niseme mapema mie jamani ni atletico daima, naiheshim madrid(fundi modric,kroos, cr7) fundi zizzou leo acha tutengane tu. Nipo upande wa muhun mwenzangu el cholo..
Wewe uko upande gani!?
WapigweeeeHii Uefa bana Atletico watapigwa tu na Leo hakuna cha mda wa maongez,tena wale wa kubet mpe handcup Madrid.
Hivi hii gari ya ronaldinho inaitwaje
Pamoja sana mkuu Mussolin5Leo Jumamosi 28.5.2016 ndio siku ya fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya, michuano mikubwa kabisa na yenye uhondo wa pekee duniani kwa ngazi ya vilabu.
Fainali hii inazikutanisha timu mbili toka Spain na pia katika jiji moja la Madrid, ambapo Atletico Madrid uso kwa uso na Real Madrid pale katika uwanja wa Guiseppe Meazza au San Siro ndani ya jiji la Milan.
Atletico watachagizwa na wachezaji wao mahiri Griezmann,Torres, Koke, Saul huku idara ya ulinzi ikiwa chini ya jemedari Diego Godin.
Kwa upande wa Real wao watategemea zaidi Ronaldo, Bale, Modric bila kumsahau shujaa asiyeimbwa Casemiro.
Nani kucheka baada ya mpira kuisha kati ya Diego Simeone kocha mwenye mbinu za kukaba zaidi AU Zinedine Zidane kocha mwenye mbinu za kushambulia zaidi. Ikumbukwe hii ni mara ya pili timu za Madrid kukutana kwenye fainali hii ambapo mara ya kwanza Atletico alifungwa, Je leo watalipa kisasi??
Mechi ni saa 3:45 usiku kwa saa za Afrika ya Mashariki na itaonyeshwa kupitia Super Sport 3 ( SS3 ).
Tukutane hapa kwa live updates!!
cc: Th Name Belo Jimena Aleyn everlenk PNC 1 rubaman Mentor na wengineoo
Hii kauli utaijutiaNa mimi nieleweke tu, nipo Atletico de Madrid!!
Unaachaje kushabikia timu inayoundwa na wachezaji mahiri kama Jose Maria Gimenez, Saul, Koke, El nino Torres, Kamanda Diego Godin na El capitano Gabi ambaye anafanya majukumu yake kwa ubora wa hali ya juu ( unaitaji jicho la ziada kuliona hilo ) bila kumsahau master of clean sheet golikipa Oblak
Maana hakuna namna nyingineWapigweeee