UEFA Champions League Draw

Butua butua
kuna watu hufananisha la liga na butuabutua ya EPL!?
Butua Butua ya EPL inamfanya Guardiola aonekane kocha wa kawaida sana wakati ngoma ya La liga ilimfanya aonekane Kocha wa hatari duniani.... Thats the beauty of EPL, you shine in EPL, you will shine anywhere, but you shine in spain, you better not go to EPL :/
 
Tuende na takwimu tusikariri. Ligi ya hispania ni bora zaid dunian kwa sababu
»champions league league imechukuliwa zaid na Real Madrid ya hispania.
»Mechi kali ya deby kal ya vilabu dunian ni ya Barca vs madrid
»Zaid ya mwaka wa tatu sasa kombe la europa linachukuliwa na sevilla kutoka hispania.
»Ndani ya misimu mitatu ya champions league misimu miwil fainal zmekutana timu za hispania tu.
»zaid ya msimu wa nne sasa timu ya hispania lazima icheze fainal ya champions league
»ni miaka nane sasa tuzo ya mchezaj bora wa dunia wanapokezana Messi na Ronaldo wa la liga.
» list ya wachezaj bora dunian iliyompa Ronaldo tuzo ni kwamba kwenye rank yao top sita ni wa hispania then wengine wanafuata.

NB: epl inafuatiliwa na weng pia investment yao kubwa lakin ni lig ya kawaida
 
Kama parking yako ina bentleys na rolls royce unaweza kupunguza few mercs na bmws. Ila mnunuzi si ajabu sana akaenda kutamba mtaani kwao!
For sure huwez uza maybach kwa hasara af kesho ukaenda nunua ileile kwa pesa ya kunulia bughati huo ni utahaira
 

>>> Champions League Kuchukuliwa na R. madrid mara nyingi haimaniishi kuwa eti La liga ndio the best! Fo real? In that case Seria A is best then EPL? because AC Milan is a five time winner!

>>> Mechi Kali duniani ni derby ya Madrid na Barcelona? Barcelona ni timu ilo rise juzi tu, na kufanywa kuwa ni mechi bora ni on purpose, makusudi inafanywa ionekane ivo by giving it too much attention. Mechi nyengine ya kusisimua La liga ni ipi? Madrid na Atletico? Barca na Atletico? Derby ya La liga ni kama bidhaa za oriflame, GNLD, ndo zinazotumika sana na kujitangaza sana, wakati za EPL ni kama shampoo ya HEAD and Shoulder, husikii mtu akikwambia njoo ujiunge utengeze milioni, lakini ni bidhaa bomba... Derby ya La liga ni Messi na Ronaldo. Lakini derby za EPL Ni team kwa Team sio single player. Ligi yenu full of hype.

>>> Mwaka wa tatu Sevilla bingwa wa Europa, Okey sawa, but that doesnt make Sevilla the best team in Europe. When wa the last time they won the La Liga? Unajua kwanini La liga haina Mvuto zaidi ya mechi ya Barca na Madrid na Atletico na Madrid? The league is only dominated by 2, Barca na R.Madrid, Atletico nae kashtuka juz tu. The race for la liga ni for 2 only, in EPL, the unexpected happens, Hii ndio raha ya soka. Uingereza kuna Arsenal, Chelsea, Tottenham, Man city, Man utd, Liverpool, wote wanang'ang'ania ligi.

>>> Miaka nane mchezaji bora ni Messi na Ronaldo. Mkuu kwa hili wala sio la kuongea, hii tunajua kumejaa upendeleo kwenye ichi kinya'nganyiro na fitina tupu, Kumbuka Ronaldo kaanzia kushine Uingereza, La liga kama kawaida mtu akitoka uingereza akija huko kaja kushine kuliko. Ntajie mchezaji alotoka La liga akaja EPL akachukua mchezaji bora wa dunia.

Hujiulizi kwanini Investment nyingi EPL kuliko La liga? watu wanafuata kilicho bora, Kumbuka barca alikuwa hana mdhamini kwenye jezi yake na ilikuwa inashiriki ligi kuu.

Mtizame Guardiola, Msela Spain alitamba sana, na ndo aloipaisha barca, kila timu kubwa ikamdokolea macho inamtaka, kuja Uiengereza tu, Guardiola sasa anaonekana kumbe kocha wa kawaida. EPL ni kitu chengine mkuu. Burudani tupu.
 
For sure huwez uza maybach kwa hasara af kesho ukaenda nunua ileile kwa pesa ya kunulia bughati huo ni utahaira
Bahati mbaya sikuwa na maybach...nilikuwa na ordinary s class niliemuuzia akai upgrade to maybach why not buying it back?
 
Mkuu nakushukuru sana kwa uchambuz wako mzur. Ningependa ujibu maswali yangu km utapenda.
»» kwa nini champions league inatawaliwa sasa na timu za hispania km wao sio bora pia kwa nini timu za uingereza hazitambi kama timu za hispania km wao ni bora zaid?


»» inakuaje Messi na Ronaldo watawale ballon dor na wasitawale wachezaju wa uingereza? Km wanapendelewa hebu fafanua wanapendeleweje wakat wapiga kura walikuwa ni makocha, makepten wa national teams pamoja na waandish? Hapa naomba unieleze methodology inayotumika kuwapendelea then unieleze wachezaj wa england waliostahil kupewa mbele ya hawa washind wawil


»» Kwa nn unadai hispania wababe ni barca na madrid tu wengne wabovu wakat Sevilla bingwa wa uropa sasa mara kadhaa mfululizo tena kwa kukuwachapa hawa hawa waingereza.


»» hata ile list ya jana top six ni wachezaj wote hispania ndio then wanafutia akina Mahrez cjui Vardy. Vp hata hapo ni upendeleo, hebu nieleze vzr



»» haya hebu angalia 16 bora champions leagu droo iliyochezwa jana Hispania timu nne wakat uingeleza ni tatu tu. NAOMBA MAELEZO YA KUTOSHA HAPA....
 
Popote ulipo agiza soda mkuu nitakulipia
 
Unasikitisha, hao Sevilla Europa league hua wanakutana na hao hao wa epl bado wana kalishwa, kaaujue hata kwenye wajuaji kuna wajuzi zaid so Madrid na Barça ku dominate league cio kigezo kua league mbovu. Utd ambao ni giant EPL akienda Europa league tu kamasi zina mtoka akikutana na Athletic Bilbao, lkn mlete TOT kwa ATM uone kitakacho mkuta
 
Kwa miaka ya karibuni Real Madrid imekuwa ikibebwa sana kwenye draw kama hizi
 
Hata eufa yenyewe miaka mitatu ya mwisho imechukukiwa na Real Madrid, Barcelona then Real Madrid
 
Hata eufa yenyewe miaka mitatu ya mwisho imechukukiwa na Real Madrid, Barcelona then Real Madrid
Mkuu ndo hapo nashangaa mtu anasema lig ya uingereza ni bora kisa Umaarufu..... sasa jiulze timu km Leicester city kombe gan wanaweza wakachukua mbele wababe hawa wa kiispania.
Mtu anasema laliga timu nyngne ni mbovu wakat Atletico wanaingia fainal mara mbil champions league ndan ya miaka mitatu.
Tunamwona sevilla anachukua europa mara tatu mfululizo tena hii ya mara ta tatu akiwabutua waingereza liverpool.




MKUU WAO WATAKUAMBIA LIG YA EPL CJUI INA USHNDAN MARA GUADIOLA UINGEREZA ANAFUNGWA. SABAB ZA KITOTO KABISA
 
tutamchapa tu. last time Bayern alibebwa na refa. na uzuri safari hii tunamalizia game kwetu
kamuulize guardiola Kati ya EPL na LA liga IPI ni league ngumu
 
kamuulize guardiola Kati ya EPL na LA liga IPI ni league ngumu
Mm co kilaza km ww kila kitu umeshikiwa akil mpaka uambiwe na wengine. Wasomi huwa tunafanya utafit ndio tunakuja na takwimu. LETE TAKWIMU CO MPAKA KILA KITU UAMBIWE WW PURU WA KUTUPWA
 
Mapenzi yanawafanya watu wasifikirie ukweli
 
Pia katika miaka 10 ya mwisho yaani 2006-2016, Barcelona wamechukua mara nne Madrid nadhani 2 ukijumkisha ni misimu sita then the rest wanagawana wengine huko
 
Pia katika miaka 10 ya mwisho yaani 2006-2016, Barcelona wamechukua mara nne Madrid nadhani 2 ukijumkisha ni misimu sita then the rest wanagawana wengine huko
Hapo ndo nashangaa, kwa mfano kigezo kikubwa ambacho wanadai eti lig ya uingeleza ni bora kwa sababu bingwa hatabirik yoyote anaweza akachukua ubingwa kwa hyo hii ni nzur coz ubingwa unapatikana kwa upinzan. MAWAZO HAYA NI YA KIWANGO CHA CHEKECHEA

kwa kigezo hicho bas lig ya zanzibar ni bora kuliko tanzania bara coz zanzibar mabingwa wanabadilishana mara miemben, mara polis, mara taifa jang.ombe, mara kmkm na wengne wakati tz bara ni cmba na yanga kidogo na azam juz
 
Mkuu ac milan ni 7 times winner na sio 5 times kama ulivyoandika juu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…