Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Mtapewa Bayern maana ndio mwamba wenuArsenal hakuna timu ya kututisha sasa hivi, yeyote aje tu.
Round hii inayo fuata mtapigwa kama ngomaArsenal hakuna timu ya kututisha sasa hivi, yeyote aje tu.
vibonde nyiny mnataka yoyote hamuogopiArsenal hakuna timu ya kututisha sasa hivi, yeyote aje tu.
Comment ya kichoko ni hii,kwa kuwa hao wengine wana miguu mitatu enh!!mpira ni mchezo wa makosa fala weweRound hii inayo fuata mtapigwa kama ngoma
Arsenal hakuna timu ya kututisha sasa hivi, yeyote aje tu.
Mbona makasiriko mkuu😃😃😃Comment ya kichoko ni hii,kwa kuwa hao wengine wana miguu mitatu enh!!mpira ni mchezo wa makosa fala wewe
Tunawamudu hawa, Arsenal ya Sasa si ile ya Wenger, hii ni Arsenal ya Arteta master.Arsenal vs Bayern kama sio hao ni Barcelona [emoji2][emoji2]
TutaonaTunawamudu hawa, Arsenal ya Sasa si ile ya Wenger, hii ni Arsenal ya Arteta master.
Arsenal watuletee yoyote tunaruka nae....Arsenal hakuna timu ya kututisha sasa hivi, yeyote aje tu.
Nawewe ni mwana asanali ?Arsenal hakuna timu ya kututisha sasa hivi, yeyote aje tu.