UEFA Champions League: Droo ya Robo & Nusu Fainal Ijumaa Saa 9:00 Alasiri

UEFA Champions League: Droo ya Robo & Nusu Fainal Ijumaa Saa 9:00 Alasiri

Huwa wanacheza rafu sana kukuondoa kwenye mchezo wako, kisha wanatafuta goli moja wanapaki bus kumaliza mchezo.
Kimbinu ni wazuri ila kwa arsenal wangekaa tu, bayern inapitia kipindi kigumu hasa nje ya UEFA ila bado wana nafasi ya kufanya vizuri kwangu mimi naona kungekuwa na unafuu kwa atletico madrid.
 
Kimbinu ni wazuri ila kwa arsenal wangekaa tu, bayern inapitia kipindi kigumu hasa nje ya UEFA ila bado wana nafasi ya kufanya vizuri kwangu mimi naona kungekuwa na unafuu kwa atletico madrid.
Arsenal ata ungepewa kina Sebastian Haller bado safari yako ilikua imeivaa huna wakumtoa hata mmoja pale wew pale Ndio kibonde wa mwisho
 
Arsenal ata ungepewa kina Sebastian Haller bado safari yako ilikua imeivaa huna wakumtoa hata mmoja pale wew pale Ndio kibonde wa mwisho
Pole sana man utd ya fagasoni, huyo dortmund unaemzungumzia hana maajabu yeyote. Timu nazozihofia sana ni man city, bayern na madrid. Hao wengine ni tia maji tia maji tu hatuchekani.
 
Real madrid vs Atletico Madrid 2016 final vibes can repeat
once again
 
FB_IMG_1710503436794.jpg
 
also psg has the clear pass to the final kama wata manage kumtoa barca they'll have a chance to lift the trophy for mbappe
 
Back
Top Bottom