Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
AthletiCo Madrid nusu fainali kasha pita aisee🤓🤓Mmeshapewa Bayern kaka be informed View attachment 2935309
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AthletiCo Madrid nusu fainali kasha pita aisee🤓🤓Mmeshapewa Bayern kaka be informed View attachment 2935309
Kaka Nauza vitumbua tu 🤓🤓Kwenye ule Mgodi wako🤣🤣
Yan Atletico tunabeba msimu huuAthletiCo Madrid nusu fainali kasha pita aisee🤓🤓
😂😂😂😂Unauza ama unakula😂Kaka Nauza vitumbua tu 🤓🤓
Diego Simeon ndoto yake inaeza timia, maana cr7 Ali myeyusha Sana🤓🤓Yan Atletico tunabeba msimu huu
Kaka nina choma vitumbua 😂😂😂😂😂Unauza ama unakula😂
Na Ramos😂Diego Simeon ndoto yake inaeza timia, maana cr7 Ali myeyusha Sana🤓🤓
Hapana nakataa kaka😂Kaka nina choma vitumbua 😂
Ramos dk ya 94, Ronaldo ndo ali muumiza Sana simeone🤓Na Ramos😂
Itakuwa ume Rogwa 🤓🤓Hapana nakataa kaka😂
Daah wakati tumeongoza kabisa dakika zote hizoRamos dk ya 94, Ronaldo ndo ali muumiza Sana simeone🤓
😃😃😃 Hapana kaka nipo timamu kabisaItakuwa ume Rogwa 🤓🤓
Mimi nawataka Bayern kwasababu naamini hawa watatupa Arsenal nafasi ya kuucheza mpira wetu, hapatakuwa na fouls nyingi, game mbili zitakuwa tamu balaa...Kimbinu ni wazuri ila kwa arsenal wangekaa tu, bayern inapitia kipindi kigumu hasa nje ya UEFA ila bado wana nafasi ya kufanya vizuri kwangu mimi naona kungekuwa na unafuu kwa atletico madrid.
Hayo mashindano yamekosa msisimko kutokana na kutokuwepo kwa timu kama Chelsea na Man utd ktk hatua hizo
Hayo mashindano yamekosa msisimko kutokana na kutokuwepo kwa timu kama Chelsea na Man utd ktk hatua hizo
Mimi jobless pro max 🤒😃😃😃 Hapana kaka nipo timamu kabisa
Ukitaka kusisimka, kasisimke chooni.Hayo mashindano yamekosa msisimko kutokana na kutokuwepo kwa timu kama Chelsea na Man utd ktk hatua hizo
Hii Arsenal ya sasa hivi inacheza kitimu sana, haimtegemei individual kama enzi hizo za kina Henry, kwa maana hiyo hii Arsenal ya sasa ndio balaa zaidi, kama ikitokea wakabeba hiyo ndoo sitashangaa..walishindwa kubeba UEFA kina Henry wapo kwenye ubora leo kina Ben white Ndio wabebe Ndoo labda kama mtacheza na Brenteford
Mpira sio historia mzee..ukchukua rekodi za misimu kumi ya UEFA champions leauge kwa timu Nane Bora Arsenal Ndio vibonde