The big nini?...Achana na Mimi kilaza wewe [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]man city imetolewa dunia nzima inalialia
The big club ina the world
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
The big nini?...Achana na Mimi kilaza wewe [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]man city imetolewa dunia nzima inalialia
The big club ina the world
Punguzeni utaahira vihereherePunguzeni ujinga watu weusi
Hilo Jamaa ni libaguzi sana tu, na hata ile inshu ya Raia wa Camp Nou walipotaka kujitenga kuwa nchi inayojitegemea kwa madai asilimia kubwa ya maendeleo ya uchumi wa Hispania yanatokana na rasilimali za madini yanayochimbwa Camp Nou na kuiingizia nchi fedha za kigeni lilisapoti huo upumbavu hadi FA ilimpiga faini kujihusisha na siasa ikiwa haruhusiwi kwa sheria za FA pale UK.Acheni hizo,mbona Pep mwenyewe ni chotara
Kirahisi hvyo mkuu?Liverpool ndiyo bingwa
Wenzako wanapambana wewe unawaza ujinga unaoitwa laana.Akili za kiafrika ni shida tupu.Laana ya Yahya Toure itaendelea kumtafuna Pep hadi atakapoomba msamaha kwa waafrica weusi kwa ubaguzi zidi yao,hatachukua Uefa tena.
Hilo Jamaa ni libaguzi sana tu, na hata ile inshu ya Raia wa Camp Nou walipotaka kujitenga kuwa nchi inayojitegemea kwa madai asilimia kubwa ya maendeleo ya uchumi wa Hispania yanatokana na rasilimali za madini yanayochimbwa Camp Nou na kuiingizia nchi fedha za kigeni lilisapoti huo upumbavu hadi FA ilimpiga faini kujihusisha na siasa ikiwa haruhusiwi kwa sheria za FA pale UK.
Mkuu twende PARIS 🤣🤣🤣🤣Yaani pep aombe msamaha kwa waafrica ili achukue uefa ,?
Hawezi fanya huo ujinga mzee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Muhuni Ramos hayupo mkuu hakuna wa kumvunja tenaMo Salah ajiandae kuvunjwa mkono na wababe wa Madrid
That's football..Mzuka wanajamvi,
Nilitoka kazini nimechoka kichiz ila mechi ya real na city nilipanga kuangalia. Mahrez alipofunga nikajua wazi citywanaendqa fainali. Nikaamua kulala. Sasa mda siyo mrefu nimeamka nikaamua kuangalia iliishaje. Sijawahi kushikwana mshtuko kama huu wanajamvi wenzangu. Kweli mpira dah Madrid maamae Jiiizaz
Erythrocyte makaveli10 Chaliifrancisco
Acha tu MkaldayoThat's football..
Rodrigyo tu alivyofunga goli la kwanza na refa akaongeza dk6,nilisema City ashatoka..na kweli ikatokea
Waafrika na superstition ni shida sana, sasa siku Pep akitwaa hilo kombe mtasemaje.Yaani pep aombe msamaha kwa waafrica ili achukue uefa ,?
Hawezi fanya huo ujinga mzee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Akome...😂😂Laana ya Yahya Toure itaendelea kumtafuna Pep hadi atakapoomba msamaha kwa waafrica weusi kwa ubaguzi zidi yao,hatachukua Uefa tena.
Hiyo sheria ya 'away goal' imeshafutwa.Mechi ingeishia dk 90 tuu, Madrid wangeenda Kwa away goal , walioweka away goal walikuwa magenius ....!!
This time Real Madrid hatakatiza kwa Liverpool...Mo Salah ajiandae kuvunjwa mkono na wababe wa Madrid
Ramos hayupo, itakuwa amani tuMo Salah ajiandae kuvunjwa mkono na wababe wa Madrid
Sheria ya Goli la Ugenini ilishaondolewa/ilishafutwa.Mechi ingeishia dk 90 tuu, Madrid wangeenda Kwa away goal , walioweka away goal walikuwa magenius ....!!
Tuliwaambia Madrid ikinusa UCL huwezi amini inachokifanyaReal Madrid imefanya maajabu, ni baada ya kupindua matokeo dakika za mwisho na kufanikiwa kuingia fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kwa kuiondoa Manchester City kwa jumla ya mabao 6-5.
Hadi dakika ya 90 Madrid ilikuwa nyuma kwa bao 1-0 katika nusu fainali ya pili, dakika ya 90 na 91 ilipata mabao mawili kupitia kwa Rodrygo na kufanya matokeo ya jumla kuwa 5-5. Katika dakika 30 za nyongeza, Kareem Benzema akafunga bao na kufanya matokeo kuwa 3-1.
Fainali inatarajiwa kuchezwa Mei 28, 2022. Real Madrid ambayo imebeba kombe hilo mara 13 itaivaa Liverpool ambayo imebeba kombe mara 6.
Najua ndo mana nikasema Bora ingebakishwa , timu inayopata magori mengi ugenini always ni the best Kwa 75 % , ingelikuwepo kulikuwa hamna haja ya kuwachosha wachezaji Kwa dk zingine 30....Madrid ameprove hlo kuanzia game ya Chelsea to city....waliopanga hyo Sheria walikuwa mageniusHiyo sheria ya 'away goal' imeshafutwa.
Sjakuelewa , kuhusu away goal najua ilishafutwa Ila kulikuwa hakuna haja ya kuifutaSheria ya Goli la Ugenini ilishaondolewa/ilishafutwa.
Dakika 90 Real wangemaliza kwa kuongoza 1-0 wangeongezewa dakika 30, kwahiyo wangepiga dakika 120