raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Hakuna kocha paleHuyu Southgate naona anaanza kufeli sasa. Yanini kumuanzisha TAA kiungo na mtu hawezi kukaba na wakati yupo Gallagher na Mainoo bench. Timu inaelemewa sijui haoni
Sijui kwanini walimuacha rashford km kina foden ndio wanacheza iviHuyu bellingham ni wakutoa anafuka ruka tuu...foden haonekani, tripier naye hayuko...aisee hawa vijana ni majnga
Bila ume betMnachanganya mapenzi na ushabiki ndio maana wagumu kuelewa. Pamoja na ushabiki wangu kwa Man utd lakini hainizuii kuona Ronaldo ashaisha asipofunga anakua mzigo tu uwanjani. Mechi ya jana Ronaldo hakua na impact yoyote, angekua mzalendo angeomba kupigwa sub kwa sababu mechi ishamsh
Wapuuzi goal moja wameridhika, madhabiki wamepoa wachezaji wamwooa.
Those daysπ€£Nimemiss chambuzi za Dr Ricky
Ungesikia hawa denmark sio wa kubeza na kwa faida ya watazamaji hii ndio nchi inayo ongoza kwa watu wake kula nyama duniani ππ₯π₯π₯π₯
Huyu bellingham ni wakutoa anafuka ruka tuu...foden haonekani, tripier naye hayuko...aisee hawa vijana ni majnga
Nje kunawachezaji wazuri.. Ila wataingiq dk ya 89Huyu bellingham ni wakutoa anafuka ruka tuu...foden haonekani, tripier naye hayuko...aisee hawa vijana ni majnga