Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 14,938
- 25,405
Xavi Simons anafunga ila goli linaangaliwa kwenye VAR
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kipa kazibwa na mchezaji aliye offside, var imesema hivoHili goli limekataliwaje mimi ndo sjui sheria ama
Mimi sijawahi ikubali VAR kabisaVAR isije Tanzania
Tena kuna kitu kinaitwa aviator ni mbaya sana. nahisi nikucheza na robotKubet ni ufala
Eti interference wenyewe wanasemaHili goli limekataliwaje mimi ndo sjui sheria ama
Kazibwaje angeruka kwanza tuone kama atahfikia mpiraKipa kazibwa na mchezaji aliye offside, var imesema hivo
Muite Mfaransa wa Mburahati Greatest Of All Time awatetee ndugu zake.Mwee sasa huu uhuni hili sii goli kabisa
Tutauwana TaifaMimi sijawahi ikubali VAR kabisa
Wandengereko wa ulaya leo wamebebwa kwa kweliMuite Mfaransa wa Mburahati Greatest Of All Time awatetee ndugu zake.