UEFA EURO 2024: Special Thread | Final: FT: Spain 2-1 England (Spain aibuka bingwa)

Endapo Belgium atashinda basi kila mmoja kwenye kundi hili atakuwa na point 3.

Kila mmoja akipoteza mchezo mmoja na kushinda mmoja..

Mechi za mwisho zitaamua nani na nani watasonga. Endapo wakadroo basi kuna uwezekano mkubwa wa wengine walipbaki kupita kama best losers.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…