Dr Restart
JF-Expert Member
- Jul 15, 2021
- 4,949
- 24,046
- Thread starter
-
- #2,781
Hili kundi je mechi zote zikiisha kwa sare itakuaje? Maana wote wana point 4 watakua.Kesho saa 1 majira ya Tanzania,
Ndiyo kuna mechi kali sana za kundi E. Timu zote zinakutana zikiwa na alama 3. Yeyote atakayeshinda mchezo wake anapita moja kwa moja.
Ni Slovakia vs Romania
Ukraine vs Belgium
Ikitokea hivyo wataangalia GD kwa timu zote pamoja na H2H kwa timu zote kisha ikishindikana na hapo wataangalia discipline record kwa kila timu, sasa hapa kama mmepata kadi nyingi za njano inakuwa imekula kwenu...Hili kundi je mechi zote zikiisha kwa sare itakuaje? Maana wote wana point 4 watakua.
Asee moto utawaka huko😁Kesho saa 1 majira ya Tanzania,
Ndiyo kuna mechi kali sana za kundi E. Timu zote zinakutana zikiwa na alama 3. Yeyote atakayeshinda mchezo wake anapita moja kwa moja.
Ni Slovakia vs Romania
Ukraine vs Belgium
ENG pira lao la papatupapatu tuuAisee england siwaelewi kabisa...vipi denmark huko
Hawa jamaa mechi zao tatu zote very boringENG pira lao la papatupapatu tuu
Natumain watafika mbaliAustria nao wana mpira wa kihuni sana, wanakuua bila huruma.
England ndo mpira wao miaka yote ndo maana sio timu tishio kivileHawa jamaa mechi zao tatu zote very boring
Kwahyo inaruhusiwa kupita timu 4 zote za kundi moja kumbe?Ikitokea hivyo wataangalia GD kwa timu zote pamoja na H2H kwa timu zote kisha ikishindikana na hapo wataangalia discipline record kwa kila timu, sasa hapa kama mmepata kadi nyingi za njano inakuwa imekula kwenu...
Umeelewa lakini comment yangu au overcuriosity inakusumbua?Kwahyo inaruhusiwa kupita timu 4 zote za kundi moja kumbe?
Yes, kuna uwezekano. Timu ya tatu na nne zikiwa na points 4, zitapita kama best losersKwahyo inaruhusiwa kupita timu 4 zote za kundi moja kumbe?
Hapana wanachukua wa3 tu kila kundi kama mechi zitaisha sare Ukraine anabaki slovaki Belgium na Romania wanaenda.Yes, kuna uwezekano. Timu ya tatu na nne zikiwa na points 4, zitapita kama best losers