Dr Restart
JF-Expert Member
- Jul 15, 2021
- 4,949
- 24,046
- Thread starter
-
- #3,121
Ulipo nipo!
Kipa.kachezewa faulKwanini goal la germany limekataliwa?
Kwanini Mwamba tupo tena.Mmekimbizs uzi aisee
Hayo ndiyo maneno.Ulipo nipo!
Nimeshaoga nasubiri match ya 3
Mmeuwa.Hayo ndiyo maneno.
Hata tukifungwa basi mechi ya tatu kushinda ni 100%
Hii code?Hayo ndiyo maneno.
Hata tukifungwa basi mechi ya tatu kushinda ni 100%
Niliacha game la Italy 1st half nikawa busy kumuelezea mtu kua Messi hawezi kucheza ili kombe, na Man U hawamo kwenye hii michuano,, naacha ilikua page ya 150 narudi game la Germany nakuta 157Kwanini Mwamba tupo tena.
Timu German