Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 26,961
- 77,890
Anaokoa michomoMechi hii Schumeichel anaweza pata MOTM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaokoa michomoMechi hii Schumeichel anaweza pata MOTM
Anaitwa SchmeichelMechi hii Schumeichel anaweza pata MOTM
Ameshaokoa kama miwili hivi ya hatari hatariAnaokoa michomo
😂😂😂😂Mess na Man yuuu eeeNiliacha game la Italy 1st half nikawa busy kumuelezea mtu kua Messi hawezi kucheza ili kombe, na Man U hawamo kwenye hii michuano,, naacha ilikua page ya 150 narudi game la Germany nakuta 157
Waitaliano walitukimbia banaNiliacha game la Italy 1st half nikawa busy kumuelezea mtu kua Messi hawezi kucheza ili kombe, na Man U hawamo kwenye hii michuano,, naacha ilikua page ya 150 narudi game la Germany nakuta 157
Hahahhaahha kaelewa lakini? Au mpaka kiboko kilitumika?Niliacha game la Italy 1st half nikawa busy kumuelezea mtu kua Messi hawezi kucheza ili kombe, na Man U hawamo kwenye hii michuano,, naacha ilikua page ya 150 narudi game la Germany nakuta 157
Wanaweza fungwa moja ila kwa michomo ambayo atakuwa ameokoa akapewa MOTMAnaitwa Schmeichel
So far kacheza vizuri zaidi.
MOTM endapo watapita. Vinginevyo asahau.
Kabisa, kuna mtu analiwa leo game ya tatuHii code?
Ata mimi nilikua nadhania zaman XMOTM lazima muwe winnersWanaweza fungwa moja ila kwa michomo ambayo atakuwa ameokoa akapewa MOTM
Au hujawahi kuona Degea ana MOTM huku Man U akiwa amekufa 3-1
Imekuwa butuuHio faulo akipiga Kroos anapiga direct
Utashangaa Georgia anaondoka na ndooUjerumani ina uwezo wa kuchukua hili kombe
Naanza kukunaliana na Cesc Fabrigas
Nakusubiri nipo zangu nakula karanga
Umeweka hela?Nabana pumbu
🤣🤣🤣🤣Nakusubiri nipo zangu nakula karanga