UEFA EURO 2024: Special Thread | Final: FT: Spain 2-1 England (Spain aibuka bingwa)

 
wangireza wamewekeza kweny propaganda za vyombo vya habari na kukuza majina ya wachezaji wao tu ila Ndani ya field ni weupe kabisa wee timu Had inaita wachezaji wa palace na Fulhama hamna timu pale
Wewe usitulee fikra za usimba na yanga hapa ulikozea, maoni ya kijinga sana, haya ndo maana sisi tz. Hatuendelei, kwa majitu kama hy wewe kwa hakili yako walikuwa waitwe tu wachezaji wanaocheza timu kubwa??
 
Sasa povu la nini tukishabikia wajukuu wa malkia?? Kila mtu ashabikie anachopenda bhana
 
wangireza wamewekeza kweny propaganda za vyombo vya habari na kukuza majina ya wachezaji wao tu ila Ndani ya field ni weupe kabisa wee timu Had inaita wachezaji wa palace na Fulhama hamna timu pale

Jamaa ni weupe sana, kwa midfield ile ya German wakikutana na England kijana Flopingham lazima awe Ghost uwanjani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…