UEFA EURO 2024: Special Thread | Final: FT: Spain 2-1 England (Spain aibuka bingwa)

UEFA EURO 2024: Special Thread | Final: FT: Spain 2-1 England (Spain aibuka bingwa)

Mnataka nini wakuu?

England on the recent years,have been so good. Euro iliyopita alifika fainali. Akapigwa kwa matuta.

Kombe la Dunia aliishia robo.

Mnataka nini? Form za mechi za kirafiki za FIFA na UEFA Euro qualitiers zimekuwa kali sana..

Okay sawa. Uwaanjani tufungwe na makelele tusipige? Haipo hiyo.
Kuwa underachievers sio kwamba uwe hujafika final, kwani England malengo yake ni kufika final au kuchukua ubingwa?
Katika hiyo miaka unayosema angalia wakubwa wenzie Kama Spain, France, Germany, Italy , Portugal. Na hao ndio hushika top 5 ya best leagues in Europe
Wote hao wenzake wamenyanyua makwapa recently
 
Its coming home
IMG_2137.jpeg
 
Back
Top Bottom