Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila leo wanacheza vizuriTeam majina makuuubwa ila hamna kitu
Kwenye michuano(tournament) yoyote huwa kunakua na pre briefing refereeing hii huamua baadhi ya sheria zitafsirike vipi endapo kutakua na utata, na moja wapo ni hiyo mtu akishika na iwe penalty kwa mazingira ganiNaomba Wajuzi Wa Mambo Wanijuze kwenye Hili, Ile Aliyoshika Yule Beki Wa Spain Jana, Kwa Nini Haikua Penalty?
Inakosa viungo wakabaji au inakosa viungo wakabaji wazuri? Maana viungo wakabaji wanao wengi sana, issue ni hawana ubora wanaoutakaMiaka yote ya kuingalia English team huwa inakosa viungo wakabaji
Duh hapa ogopa kupigwa tuMtu akipigwa kimoja analala nacho
Au ukitoka nyuma, afukuzane nao. Cheza ya kizamaniKane naona lile eneo la umaliziaji mabeki wa swiss hawapati usumbufu ,anashindwa kupambania krosi za saka. Anataka mipira imfikie mguuni
Ndio maana yangu na ndio huwa kinaangusha kubeba ubingwaInakosa viungo wakabaji au inakosa viungo wakabaji wazuri? Maana viungo wakabaji wanao wengi sana, issue ni hawana ubora wanaoutaka