Dr Restart
JF-Expert Member
- Jul 15, 2021
- 4,949
- 24,046
- Thread starter
-
- #5,141
Ufaransa hamuwaoni?Hawa england yaani wanasonga kimazabe zabe kweli kweli
Ila kweli ufaransa ndio kabisaa ata magoli hafungi mshenzi yuleUfaransa hamuwaoni?
Bora yetu sisi tunapambana mno. Comeback si rahisi
Kimchongo kama kawaida yakeVipi hajatoboa
Wale wajinga hata magoli hawana wanapita tu kibahatiUfaransa hamuwaoni?
Bora yetu sisi tunapambana mno. Comeback si rIla ufaransa nayo inapita tu lakini hawana hata magoli wale wajinga
Wana magoli waliyojifunga wapinzani waoIla kweli ufaransa ndio kabisaa ata magoli hafungi mshenzi yule
Anacheza midfield, ndio top scorer wa Real Madrid kwa msimu huu.
Chuki humuumiza zaidi anayeitunzaNaichukia England to the extent aisee hawa washenzi wameniharibia siku kweli kweli.
Sikataa, ila kwa sasa kwangu uwezo unaanza kupungua.Southgate ni kocha bora wa england kuliko wote waliopita labda anazidiwa na huyo alietwaa wc enzi za kinjekitile Ngwale.
Yeah man! Ukweli mtupu! Katutoa mbali sana!Southgate ni kocha bora wa england kuliko wote waliopita labda anazidiwa na huyo alietwaa wc enzi za kinjekitile Ngwale.
Hapo usikute unafanya kazi tangu miaka ya themanini... Hela yako Chino Kid dancer wa Marioo ananywea bia hiyo 😂👍Nina hela ndogo tu million 40
Pamoja hayo nusu fainali ni kawaida yao, EURO & World Cup. Timu kama Switzerland nusu fainali wanazisikiaga tuAisee wadau tukienda na ule kweli Uingereza ni taifa stars ya ulaya, timu mbovu sana
Wachezaji wao ni very average na hata kocha wao mwenyewe yuko below average....