UEFA EURO 2024: Special Thread | Final: FT: Spain 2-1 England (Spain aibuka bingwa)

UEFA EURO 2024: Special Thread | Final: FT: Spain 2-1 England (Spain aibuka bingwa)

It was great to have you underdogs see you next time 🛫🛫
Screenshot_20240707-000838.png
 
Hapo nilimaanisha anatoka kwamba England hawatofuzu b... Ndio baadaye nikanyoosha mikono kwamba umeshinda wewe.
Ila sikuachi, kiroho mbaya niko nawe hadi nusu fainali.
Yeah! Lakini, watu iliyonao England, huyu Southgate anaichelewesha sana England.

Ova
 
Kwamba ana watu kuliko England ya Rooney, Beckham, Ferdinand, Cole, Lampard, Gerrard na hawakufua dafu b...?
Yeye namwona kama ana kundi kubwa, yaani wameamka wengi kwa pamoja, tena huku wakiwa na umri wa mizuka.

Wengine hadi kawaacha nyumbani, hajavunja kibubu, nadhani wenzake hawakuwa na kundi kubwa. Ila nao makocha walikuwa shida pia.

Ova
 
Back
Top Bottom