Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndivyo wanavyocheza hivyo tangia mashindano yaanze lakini wanapata matokeo,mabrazameni sanaMahujaji wametepeta.japo Holland ni WA kawaida mno.
Hapo nilimaanisha anatoka kwamba England hawatofuzu b... Ndio baadaye nikanyoosha mikono kwamba umeshinda wewe.Huyu kocha anachanganyikiwa kwa wachezaji alionao. Nadhani mikoba apokewe huyu.
Ova
Yeah! Lakini, watu iliyonao England, huyu Southgate anaichelewesha sana England.Hapo nilimaanisha anatoka kwamba England hawatofuzu b... Ndio baadaye nikanyoosha mikono kwamba umeshinda wewe.
Ila sikuachi, kiroho mbaya niko nawe hadi nusu fainali.
Kwamba ana watu kuliko England ya Rooney, Beckham, Ferdinand, Cole, Lampard, Gerrard na hawakufua dafu b...?Yeah! Lakini, watu iliyonao England, huyu Southgate anaichelewesha sana England.
Ova
Yeye namwona kama ana kundi kubwa, yaani wameamka wengi kwa pamoja, tena huku wakiwa na umri wa mizuka.Kwamba ana watu kuliko England ya Rooney, Beckham, Ferdinand, Cole, Lampard, Gerrard na hawakufua dafu b...?
Kuna dogo mwingine anakuja pale anaitwa Endrick kutoka Brazil plus MbapeMmemuona huyu mtoto Arda Güler jinsi ulivyo versatile? Hii ndio nightmare ya Jude Bellingham pale Bernabeu