Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kikubwa zaid wanajitumaMpira wa. uturuki safi sana wanadefence huku wanashambulia
Hapa naona kipigo kinanukia kwa hawa wana orangeKikubwa zaid wanajituma
Mimi sikutamani washinde, sababu kubwa ushoga na wanasapoti mayahudi kuuwa watoto, wazee na wamama nchini palestinaNaichukia England sababu ya hype na misifa waliyonayo haiendani na uwezo wao kwa ground
France hadi hatua hii mchezaji mwenye goli ni Mbape tu, goli moja la penaltiKama France au??
Wao ndio walijifunza kwetuEngland Wakoloni wamesonga mbele,
Hawa Ndio waliotufundisha uswahili wabongo kisha Ghana kwa kina Morison.
Hahaaa ni hatari huyu dogoMmemuona huyu mtoto Arda Güler jinsi ulivyo versatile? Hii ndio nightmare ya Jude Bellingham pale Bernabeu
Hahaaa ni hatari huyu dogo
Hivi Uholanzi hawana mchezaji mwingine mpaka wamng'ang'anie huyu Depay na Simuoni???
Huyu Bellingham hata pale Bernabeu nna mashaka nae. Atakuja kulamba bench mpaka media zote za Uingereza zitaingilia
mulikuwa munanitukana sana mkuu wakati nilipokuwa nakuelezeni kuwa jamaa ni wa mchongo