Kwenye fainali ya Uefa nations league mwaka juzi, Spain walicheza vizuri hivi hivi kama wanavyocheza leo, na walianza wao kupata goli.... ila mwisho wa siku wakafa 2-1Spain wanastahili kushinda hii game. Nitaumia sana wakishindwa kuqualify kwenda fainal.
Bonge la game...