macron outSub za spain hua ni mdebwedo
Timu zangu zinapigwa tu😂😂😂😂😂😂😂 Kesho zamu ya Bellingham
Niko nasubir belligham atoke afu messi ajibebeUnpopular opinion: Spain akitwaa Euro basi Ballon dor apewe Carvajal😂
Uzuri wao wanaweza kumiliki mpira so france wakipiga shambulizi wakiwakosa jamaa wakipata mpira wanaupoza mchezo.Spain wana pumzi sana. Walistahili.
Hilo swali litunze atakujibu michuano ijayoKwa nini kocha ajamuanzisha bargola
za kwangu zinapeta tu nilikwa na spain,slovenia na netherlandsTimu zangu zinapigwa tu
Una akili mingiFuraha yangu timu za mchongo zitoke bado England ,timu zinazo tembea kibahati ziki beba ndoo huwa naumia.kama Portugal kipindi kile