Goli la dogo hatari kweli kweli...wenzetu wanawekeza mwenye youth hamna magumashi. Unaambiwa dogo 16 ukiamgalia sura unaona kabisa huyu mtoto. Njoo kwetu sasa mchezaji u20 anacheza mashinda manne 🤣🤣🤣🤣Spain ina wachezaii mafundi sana aisee, sio viungo, sio Mabeki, sio Forwards...wote wanajua kucheza na mpira
Nilale tuSema mafuvu eboh😁😁
Goli la dogo hatari kweli kweli...wenzetu wanawekeza mwenye youth hamna magumashi. Unaambiwa dogo 16 ukiamgalia sura unaona kabisa huyu mtoto. Njoo kwetu sasa mchezaji u20 anacheza mashinda manne 🤣🤣🤣🤣
Lala tu mzee babaNilale tu
Vipi hukoVijana wa Messi wapambane na hali yao, bwana wao anaruka ruka tu huko Copa hata goli limemshinda maka hatua hii
Na ushahidi unapatikana mapemaGoli la dogo hatari kweli kweli...wenzetu wanawekeza mwenye youth hamna magumashi. Unaambiwa dogo 16 ukiamgalia sura unaona kabisa huyu mtoto. Njoo kwetu sasa mchezaji u20 anacheza mashinda manne 🤣🤣🤣🤣
Ile Spain ya 2010 si ndio Century Squad mpaka sasaHii spain bado cha mtoto, ile ya akina xavi, iniesta, bosquet, alonso na niesta ilikua balaa, ufaransa wangekula nyingi
Sio kweli, Final ni Final tu, wakikutana na Netherlands kazi ipo, ila wakikutana na England Spain itafunga magoli sio chini ya 4 na Fainali itaboaSpain wakabidhiwe tu kombe lao leoleo, maana hio fainali kwao itakua kama kukamilisha ratiba tu.
Fainali yao ilikua ni leo na mechi dhidi ya Ujerumani, kwa kifupi tunaweza sema kwenye michuano hii ya Euro 2024 Spain amecheza fainali 3 [emoji16][emoji16][emoji16]
Sio Barcola tu, kuna Coman ni mzuri sana kwa mashambulizi...angeingia baada ya DembeleKwa nini kocha ajamuanzisha bargola
Kwelinsub nyingine zinaua game plan. Sub ya Dembele ilipunguza moto kwa france.Sio Barcola tu, kuna Coman ni mzuri sana kwa mashambulizi...angeingia baada ya Dembele
Hii game hata Henandez asingepaswa kucheza
Badaye new holland lazma amlime mkoloniMeans na baadae mtapeta?
hiyo ngumu kidogo kwa kweli
Messi iwaokoa ile gemuMwisho wa game tukawabomoa ufaransa wenu
Italy nae tukaenda kumbomoa
Brazil nae tukaenda kumbomoa
Argentina 🇦🇷 forever