UEFA EURO 2024: Special Thread | Final: FT: Spain 2-1 England (Spain aibuka bingwa)

UEFA EURO 2024: Special Thread | Final: FT: Spain 2-1 England (Spain aibuka bingwa)

Spain ina wachezaii mafundi sana aisee, sio viungo, sio Mabeki, sio Forwards...wote wanajua kucheza na mpira
Goli la dogo hatari kweli kweli...wenzetu wanawekeza mwenye youth hamna magumashi. Unaambiwa dogo 16 ukiamgalia sura unaona kabisa huyu mtoto. Njoo kwetu sasa mchezaji u20 anacheza mashinda manne 🤣🤣🤣🤣
 
Kawaida wale wabaguzi wa ufaransa walioshabikia yule mama kigagula ndio huwa washabiki wakubwa wa mpira, na hii ni ulaya yote huwa wako hivi, sasa hawa wa ufaransa walisahau kuwa timu nzima ni zaidi ya nusu wageni au weusi
Ndio maana hata Mbappe aliingilia na kuwaasa wananchi wasimpe serikali yule mama kigagula
Kwahiyo baada ya kushindwa uchaguzi, na sasa wamepewa makusudi msongo mwingine wa ufaransa kutolewa
 
Goli la dogo hatari kweli kweli...wenzetu wanawekeza mwenye youth hamna magumashi. Unaambiwa dogo 16 ukiamgalia sura unaona kabisa huyu mtoto. Njoo kwetu sasa mchezaji u20 anacheza mashinda manne 🤣🤣🤣🤣
Na ushahidi unapatikana mapema


View: https://x.com/SimplyGoal/status/1810855653075747028

1720578138355.png
 
Spain wakabidhiwe tu kombe lao leoleo, maana hio fainali kwao itakua kama kukamilisha ratiba tu.
Fainali yao ilikua ni leo na mechi dhidi ya Ujerumani, kwa kifupi tunaweza sema kwenye michuano hii ya Euro 2024 Spain amecheza fainali 3 [emoji16][emoji16][emoji16]
Sio kweli, Final ni Final tu, wakikutana na Netherlands kazi ipo, ila wakikutana na England Spain itafunga magoli sio chini ya 4 na Fainali itaboa
 
Back
Top Bottom