Hutaki sasa huyu dogo atakuja kufunjilia mbali rekodi ya ronaldo hadi atakapofikisha 40 years kama wafaransa wa bunju hawatamharibiaHuyu lamine goal scorer wa Spain ana miaka 16 mbona mdogo ivo.
Usikariri maisha, walikuwepo akina Hazard walifanya makuu sana lakini hawakuvunja rekodi za CR7 hata kwa 50% tu.Hutaki sasa huyu dogo atakuja kufunjilia mbali rekodi ya ronaldo hadi atakapofikisha 40 years kama wafaransa wa bunju hawatamharibia
kwanini isivunjwe rekodi kwani ronaldo yeye nani siyo mtu,usikariri mamboUsikariri maisha, walikuwepo akina Hazard walifanya makuu sana lakini hawavunja rekodi za CR7 hata kwa 50% tu.
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Ana sahau kama kuna Gavi na pedri wali tabiliwa makuu pia ila waka poaUsikariri maisha, walikuwepo akina Hazard walifanya makuu sana lakini hawavunja rekodi za CR7 hata kwa 50% tu.
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Kwanini ivunjwe kwani huyo Dogo ni nani haswa hadi avunje rekodi, usikariri kama uko chekechea.kwanini isivunjwe rekodi kwani ronaldo yeye nani siyo mtu,usikariri mambo
hapa njaa nyingi kufa kufaana. mpira unachezwa na wengine pesa inaliwa na wengineWaafrica tabu sana sie....wachezaji wanakupwa dah zie wapuuzi kweli kweli
Mashabiki Maandazi wana tabu sana. Hata hivyo Dogo mwenyewe wanamkuza tu, wameenda mbali hadi kudai ni zaidi ya Mbape daaah...! 🤣Ana sahau kama kuna Gavi na pedri wali tabiliwa makuu pia ila waka po
Ana sahau kama kuna Gavi na pedri wali tabiliwa makuu pia ila waka poa
Huyo Mbape ana nini Cha kujivunia? Binafsi namuona kama keshaisha alikuwa anajaribu kushindana na Neymar, Messi pindi wapo PSG ona toka hao miamba waondoke anavyotepeta huko Madrid ndio anaenda kujizika mazima la sivyo afanye kazi ya ziada.Mashabikia
Mashabiki Maandazi wana tabu sana. Hata hivyo Dogo mwenyewe wanamkuza tu, wameenda mbali hadi kudai ni zaidi ya Mbape daaah...! 🤣
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Hajaisha isipokuwa muunganiko wa Wachezaji wenziye wengi ni wazee ndiyomaana unamwona kaishaHuyo Mbape ana nini Cha kujivunia? Binafsi namuona kama keshaisha alikuwa anajaribu kushindana na Neymar, Messi pindi wapo PSG ona toka hao miamba waondoke anavyotepeta huko Madrid ndio anaenda kujizika mazima la sivyo afanye kazi ya ziada.
Huyo Lamine dogo achana naye kabisa ni modo wa kuotea mbali kabisa.
PSG ya sasa hivi imejaa damu changa hakuna wazee pale.Hajaisha isipokuwa muunganiko wa Wachezaji wenziye wengi ni wazee ndiyomaana unamwona kaisha
Vipi huko
Mwisho wa game tukawabomoa ufaransa wenu
Italy nae tukaenda kumbomoa
Brazil nae tukaenda kumbomoa
Argentina 🇦🇷 forever
England akinyanyua kwapa itabidi nikamsake mganga waoWatu mnapepeta sana mdomo.
Sasa sisi England, acha tumalizane kwanza na huyu Mholanzi. Kisha hayo ya fainali, ndiyo mtatujua vizuri.
Tutanyanyua makwapa.