Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
It's coming home 😁Dortmund jioni hapatoshi, Oranje took the city already...
View attachment 3038647
Football is a beautiful game
Usinikatishe tamaa Mkuu. 😂Leo waholanzi watagongesha sana post ila mwishoni england huyo fainali
SuuiDah mumegubwika na machozi baada kijana wenu kufunga goli baada ya mechi 4 tena akicheza na Canada
Kumbe mholanzi weweUsinikatishe tamaa Mkuu. 😂
Sio kama wewe ndiyo una safari ndefu ya kuujua mpira?Nimeangalia baadhi ya mechi za EURO nilichokiona Afrika bado tuna safari ndefu sana kuupata mpira unachezwa na mataifa ya Ulaya.
Itakuwa hivyo Mkuu.Sio kama wewe ndiyo una safari ndefu ya kuujua mpira?
Kunywa maji mengi mkuuacha kumuoverate, wenziwe wamefanya kazi kubwa sio peke yake.
Huyu FABIAN LUIZ surprise packageIle kiungo ya Fabian na rodri ilikuwa moto wa kuotea mbali
Kina ngolo jana walipotezwa
Coach alifanya uamuzi sahihi wa kumtoa mapema, si uliona baada ya navas kutoka backline ilituliaNavasi anahitaji msaada kila Mbappe anaposhika mpira, vinginevyo zitaingia goli mbili za fasta fasta bila kutegemea.
Kila nikimuona Fabian ruiz namkumbuka fundi Guti HNavas uchochoro.
Fabian Ruiz=Guti= Fernando Redondo
Si uliona, baada ya navas kutoka tu backline ya Spain ikatulia. Coach alifanya makosa kumchezesha navas game kama ileWewe jamaa ama unaangalia game ukiwa vyombo