Mwaka wa michezo angalau tupunguze stressesHalafu baadaye [8:00pm Eastern] ni Colombia vs Uruguay!
Halafu Jumapili fainali Euro na Copa!
Fantastic summer.
Baadaye mwezi huu Paris Olympics.
Mesiah yupo Mbinguni Masanja.naitwa Masanja nawomba kuwuliza swali,Mesi yuko wapi sasa wajameni?
Aiseehnaitwa Masanja nawomba kuwuliza swali,Mesi yuko wapi sasa wajameni?
siku nzima tunakua na usingiziHalafu baadaye [8:00pm Eastern] ni Colombia vs Uruguay!
Halafu Jumapili fainali Euro na Copa!
Fantastic summer.
Baadaye mwezi huu Paris Olympics.
Wamekaza leo kama watarudi na energy ileile wanaweza kuwin gameLeo watoto wa mflme wamechangamka
Mpira unatakiwa uvuke woteHmm…..sheria kwani inasemaje? Mpira wote unatakiwa uvuke mstari au sehemu yoyote ya mpira ikishavuka mstari inakuwa ni goli?
hili halina ubishiSpain wanafuraaaahiii....
Wameshabeba ndoo hii
Huo u- top sijauona tangu Euro hii imeanzaKane top scorer Bayern
Bellingham top scorer Real Madrid
Saka top scorer Arsenal
Cole Palmer top scorer Chelsea
Foden 2ñd Manchester City
yoyote kati ya hawa hawana raha kabisa kukutanaMpira unaochezwa ni soft mno...
Spain watabeba ndoo iwapo England watashinda kwa matuta.Spain wanafuraaaahiii....
Wameshabeba ndoo hii
Ana goli mbili na assist moja, ameshakuwa man of the match mara moja. Ulitegemea ninieti ndo mlisema bellingham anastahili ballon dor eti ee
kiufupi mwanetu hana maajabu saana, ni system tu ya madrid ndo
inambeba