UEFA EURO 2024: Special Thread | Final: FT: Spain 2-1 England (Spain aibuka bingwa)

UEFA EURO 2024: Special Thread | Final: FT: Spain 2-1 England (Spain aibuka bingwa)

England pamoja na kuwa na top strikers barani ulaya, wamkuwa wanapata shida sana kufunga.

Mtazame Kane, Saka, Palmer, Belligham na Foden, hawa wote ni watu ambao wamefunga magoli mengi katika vilabu vyao.
 
Back
Top Bottom