UEFA EURO 2024: Special Thread | Final: FT: Spain 2-1 England (Spain aibuka bingwa)

Unaweza kuwa sahihi ila ndoivyo tu wengne tumeshakuwa Addicted na soka tunaangalia tu hivyo hivyo,

Mpira wa siku hizi wachezaji hawapewi uhuru wa kuonyesha skills zao binafsi kam kipindi cha kina Ronaldinho na Maradona, Players sku hizi ni kama wanachezeshwa(AI) wenyewe wanafuata kile kocha anataka tu ukienda tofauti unawekwa nje.
 
36'

Nico Williams (Hispania) anacheza katika krosi yenye matumaini, lakini haipati njia ya kumfikia mchezaji yeyote kati ya washambuliaji. Mpira unaisha na England watakuwa na goli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…