UEFA EURO 2024: Special Thread | Final: FT: Spain 2-1 England (Spain aibuka bingwa)

kwa Tz ukiwa mpenda mpira ni bora ukawa na dstv unaona michuano mingi nbc angalizia bar au banda umiza ndo unapata mzuka wa lig
sisi ndio.maana ata vichwa vyetu ni vizito mtu kazoea kuangalia mapira yanachezwa kwenye maviwanja yanamashimo mashimo na akaa anasifa kabisa eti mpira wa leo ulikua mzuri kweli kwa yale maviwanjwa mimi sitakaa ninue Azam maisha yangu yote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…