Superficial
JF-Expert Member
- Nov 25, 2023
- 232
- 471
Unsubscribed🙌
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wenzetu Spain walikubali kuanza upya baada ya zama za kina iniesta kupita na kina xavi
Ona sasa wanaanza kuvuna mbegu
England inamzidi ukubwa bwana Southgate
Wanaogopa gharamaHili tatizo lipo hata kwa Taifa stars yetu, watanzania zaidi ya milioni 60 wanashindwa mkakati wa miaka 10 kuandaa vijana 25 wa kupeperusha bendera. Wameng'ang'ania wachezaji wa miaka 38 wanaoongopa umri na kila mtu anajua. Tumekalia ubishani wa Simba na Yanga bila kujali maslahi yetu kama Taifa. Ningekuwa na uwezo hawa mashabiki wa hizi timu mbili wangekaa mbali na benchi la ufundi la timu yetu ya Taifa
Kabisa huyo dogo mahala pekee panapomustahili kwa sasa ni Arsenal kma sio Barcelona kutokana na aina yake ya uchezaji... akienda kwingineko atakuwa garasaWilliams 🔥🔥🔥player of the match waache uhuni,dogoo hafaii kuendelea kuchezaa Athletic club,Aje Arsenal 🤣
Dan Olmo before the final.."i held up Harry Kane's curse in Germany and i am not done yet"Harry Kane ni Kama Ana Mkosi na Makombe
Pamoja na kwamba mimi ni goner na ningependa sana kuona Saka na Rice wakija na medali za ushindi pale Emirates, ila ingekuwa too unfair Spain kuukosa huu ubingwa, maana ana kila sifa ya kuwa champion kwanzia aina ya wapinzani aliyekutana nao mpaka mpira anaoucheza.Inapendeza kuona timu bora ikikabidhiwa kombe.
Actually the final of this tournament was played in quarterfinal stage which was Germany vs Spain clash.... baada ya hapo ilikuwa ni kama formalities, yeyote aliyekuwa anapita hapo alikuwa anaenda kuwa bingwa.Nilishamtabiria baada ya kuitwanga France.
Kuasimika youth development programmes sio sula la mchezo mchezo etii.... na linahitaji gharama kubwa sana na muda na hilo ni jukumu la vilabu, serikali inahitaji kutoa support tu.Wenzetu Spain walikubali kuanza upya baada ya zama za kina iniesta kupita na kina xavi
Ona sasa wanaanza kuvuna mbegu
England inamzidi ukubwa bwana Southgate
Deserving
India wanacheza mpira?
PulizaRoho, mwili, akili zote zimeniuma sana, koo linabana uchungu huu, nimeumia sana. pole England 😭😭😭😭
Was a great save by someone who is not a defender.Dan Olmo before the final.."i held up Harry Kane's curse in Germany and i am not done yet"
View attachment 3042934
View attachment 3042935
Dani Olmo completed his mission yesternight.
Ka ufaransa kamebondwa na wenye mpira wao, wageni waliotoka nchi za kiafrika wajiandae kurudi afrika, hao ndio SainGOAL! Mbappe clips in a top quality cross and Muani scores! Spain 0-1 France View attachment 3038153
Definitely this will go down as the most iconic euro-winning save, who knows how the game will have turned had the ball gone into the net.Was a great save by someone who is not a defender.
Game iliishia hapaDefinitely this will go down as the most iconic euro-winning save, who knows how the game will have turned had the ball gone into the net.View attachment 3043288
Mfano msuva na Samatta wale viwango hakuna tena wanaziba nafasi za vijanaHili tatizo lipo hata kwa Taifa stars yetu, watanzania zaidi ya milioni 60 wanashindwa mkakati wa miaka 10 kuandaa vijana 25 wa kupeperusha bendera. Wameng'ang'ania wachezaji wa miaka 38 wanaoongopa umri na kila mtu anajua. Tumekalia ubishani wa Simba na Yanga bila kujali maslahi yetu kama Taifa. Ningekuwa na uwezo hawa mashabiki wa hizi timu mbili wangekaa mbali na benchi la ufundi la timu yetu ya Taifa