UEFA EURO 2024: Special Thread | Final: FT: Spain 2-1 England (Spain aibuka bingwa)

England ina wachezaji wazuri na vipaji kiasi kocha anapata wakati mgumu kupanga kikosi. Kwa mfano backline pale angempanga Dunk badala ya Guehi. TAA angeanzia bench akaanza Dogo Gordon.
Flank wasimame Walker na Trippier. Center back, Stone na Dunk.

Viungo. Rice, Jude na Gordon.
Mwisho Saka Kane na Foden.
 
Antony Gordon ni winger lakini
 
Inatakiwa foden kuanza sio saka na wachezaji wa kumaliza wengi tu sio kane tu wamefanya vizuri sana lg kuu, kunautajiri pale?.

Its Coming Home


England ameshinda mechi moja tu katika mechi za ufunguzi wa EuroView attachment 3018953
Trent hawezi kucheza kiungo itakuwa uchochoro
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…