United ya Ferguson
JF-Expert Member
- Oct 29, 2021
- 3,132
- 6,353
Mbappe bado sana yupo kwenye soka afu ishu ya mchezaji kudumu kwenye soka kwa kipindi kirefu ina uhusiano mkubwa sana na maisha ya nje ya uwanja Mbappe ni moja kati ya wachezaji wenye self displine kubwa sana nje ya uwanja.ingekua ni Game style Ndani ya uwanja inaamua mchezaji adumu kwa kipindi Gani basi kina Cristiano had leo hii wangekua wametundika daruga maana Game style ni hiyo hiyo ya kina Mbappe
anatetemeka kucheza na France mchezo niniBeki 2 ya Austria mzigo. Imejifunga hafu bado inacheza madudu
clear chance kabisaMbapeee
Cristiano alipoenda Madrid alipunguziwa majukumu tofauti na alivyokuwa manchester unitedMbappe bado sana yupo kwenye soka afu ishu ya mchezaji kudumu kwenye soka kwa kipindi kirefu ina uhusiano mkubwa sana na maisha ya nje ya uwanja Mbappe ni moja kati ya wachezaji wenye self displine kubwa sana nje ya uwanja.ingekua ni Game style Ndani ya uwanja inaamua mchezaji adumu kwa kipindi Gani basi kina Cristiano had leo hii wangekua wametandika daruga maana Game style ni hiyo hiyo ya kina Mbappe
Kalale uhakika asubuhi utakuta hela yako ,muhindi keshakaaMacho mazito na game inanoga
Game kaliMacho mazito na game inanoga
Kuna Ubaguzi Wa Rangi unaonekana dhahiri ktk game hizi.. sijui kwanini Ila ENGLAND...Kuna shida kubwa...Sio England tu, mimi natabiri Italy kutoka mapema sana
Italy hawana timu nzuri awamu hii
Msibishane Kwa mambo ya wakati ujayo hua hayana Facts.Cristiano alipoenda Madrid alipunguziwa majukumu tofauti na alivyokuwa manchester united
Madrid alikuwa anacheza eneo dogo la uwanja tofauti na manchester united alikuwa anarudi deep kwenye
Ni kweli uchezaji wa mbape na Cr unafanana
Je kina vin,na wenzie watakubali wawe kivuli cha mbape?
WamemtoaBeki 2 ya Austria mzigo. Imejifunga hafu bado inacheza madudu