UEFA EURO 2024: Special Thread | Final: FT: Spain 2-1 England (Spain aibuka bingwa)

UEFA EURO 2024: Special Thread | Final: FT: Spain 2-1 England (Spain aibuka bingwa)

Mbappe bado sana yupo kwenye soka afu ishu ya mchezaji kudumu kwenye soka kwa kipindi kirefu ina uhusiano mkubwa sana na maisha ya nje ya uwanja Mbappe ni moja kati ya wachezaji wenye self displine kubwa sana nje ya uwanja.ingekua ni Game style Ndani ya uwanja inaamua mchezaji adumu kwa kipindi Gani basi kina Cristiano had leo hii wangekua wametundika daruga maana Game style ni hiyo hiyo ya kina Mbappe
 
Mbappe bado sana yupo kwenye soka afu ishu ya mchezaji kudumu kwenye soka kwa kipindi kirefu ina uhusiano mkubwa sana na maisha ya nje ya uwanja Mbappe ni moja kati ya wachezaji wenye self displine kubwa sana nje ya uwanja.ingekua ni Game style Ndani ya uwanja inaamua mchezaji adumu kwa kipindi Gani basi kina Cristiano had leo hii wangekua wametandika daruga maana Game style ni hiyo hiyo ya kina Mbappe
Cristiano alipoenda Madrid alipunguziwa majukumu tofauti na alivyokuwa manchester united

Madrid alikuwa anacheza eneo dogo la uwanja tofauti na manchester united alikuwa anarudi deep kwenye

Ni kweli uchezaji wa mbape na Cr unafanana
Je kina vin,na wenzie watakubali wawe kivuli cha mbape?
 
Sio England tu, mimi natabiri Italy kutoka mapema sana

Italy hawana timu nzuri awamu hii
Kuna Ubaguzi Wa Rangi unaonekana dhahiri ktk game hizi.. sijui kwanini Ila ENGLAND...Kuna shida kubwa...

Saka aliishinda Ile game kila mahala. Hakupata msaada alioustahili.
 
Cristiano alipoenda Madrid alipunguziwa majukumu tofauti na alivyokuwa manchester united

Madrid alikuwa anacheza eneo dogo la uwanja tofauti na manchester united alikuwa anarudi deep kwenye

Ni kweli uchezaji wa mbape na Cr unafanana
Je kina vin,na wenzie watakubali wawe kivuli cha mbape?
Msibishane Kwa mambo ya wakati ujayo hua hayana Facts.

Shusheni Nondo Kwa kubishana juu ya mambo ya wakati uliopo na uliopita hapo ndio kuna facts.🖊️
 
Back
Top Bottom