Mimi pia nawish iwe hivyo hawa jamaa wamepambana sanaAustria waweke chuma 1 game iishe
HakikaAustria waweke chuma 1 game iishe
wew France usiwachukulie poa kabisa 2016 wamecheza fainaili ya Euro, 2018 wabeba kombe la Duniani 2022 wamecheza fainaili Tena ya kombe la Dunia achaaa kabisa hizoWamebanwa, bila shaka waliichukulia poa Australia sasa hawaamini kinachowatokea washukuru own goal hii ilifaa watoke nunge
Kwani kikosi ni hiki hiki tokea 2016?wew France usiwachukulie poa kabisa 2016 wamecheza fainaili ya Euro, 2018 wabeba kombe la Duniani 2022 wamecheza fainaili Tena ya kombe la Dunia achaaa kabisa hizo
Ata Man U kuna mwaka walichukua UEFA, achana na EPLwew France usiwachukulie poa kabisa 2016 wamecheza fainaili ya Euro, 2018 wabeba kombe la Duniani 2022 wamecheza fainaili Tena ya kombe la Dunia achaaa kabisa hizo
Mkuu uko sahihi wako vizuri wana wachezaji waziri na vijana ila kwa leo inaonekana waliunderate Australia shughuli ndo hii sasawew France usiwachukulie poa kabisa 2016 wamecheza fainaili ya Euro, 2018 wabeba kombe la Duniani 2022 wamecheza fainaili Tena ya kombe la Dunia achaaa kabisa hizo
mimi nimekupa rekodi za karibu apo uyu united rekodi za karibu kafanya kitu Gani kikubwa kwenye michuano mikubwa France 2022 juzi apo katoka kucheza fainaliAta Man U kuna mwaka walichukua UEFA, achana na EPL
Walimvua Mbappe kibabeNamuona jamaa yangu Kante na kitambaa cha ukapten
Mikeka ingeungua vibaya leoWober (2) kazingua otherwise kuna watu wangelala.na viatu