UEFA EURO 2024: Special Thread | Final: FT: Spain 2-1 England (Spain aibuka bingwa)

 
HUku euro kule copa america, hii njama ya mabeberu itabidi tukeshe tu
 
Yan mashabiki wa england hasa wa tz hawana akili, wametawaliwa n akili za kikoroni, rashford, saka, sancho watanisaidia kwenye hili…

Walivuja jasho kwa ajiri ya taifa lao zen wakaishiwa kubaguliwa na kutukanwa vibaya kisa rangi zao..

They hate us, they dont want us to be a part of them, its such a shame for full grown man like you kuja hapa n gazeti kubwa kuandika story za hao jamaa…

Na wakichukua euro y mwaka huu, nabadili jina langu na kujiita mbwa..
Match 5 wameshinda moja tuu, last match before tournament wamepigwa na finland.. taifa number 76 huko kwa ubora wa soka 🤣🤣🤣

Ebu tutoleen ushuzi wenu huko, eti vijukuu vya malkia, malkia hana wajukuu zero brain km nyie..

Mngesupport France kidogo ningewaelewa, gud night 🥱
 
Wasubiri matusi tena kama yale waliotukanwa sancho, rashford na saka..

England haijawai mpenda mtu mweusi, tht why nashangaa watu wanao wasupport hawa wajinga, kwa kisingizio eti ni wajukuu wa malkia 🤣🤣

Mm nipo pale, km watachukua ubingwa sio mimi, last 5 game ushind match moja, Iceland tuu 72 possition in fifa rank kawakanda 🤣🤣🙌🏽
 
England ni kama Germany tu wao ni washiriki kama walivyo washiriki wengine Ndoo hii ni ya France au Holland
 
Pigaaaa haooooo Germanyyyyy piga haoooooooo England piga haooooo Spain Germany wanatia huruma sana sizani kama atatoboa salama leo Scotland lazima amtoe udenda Germany pale Munich
👏🏻👏🏻👏🏻 Mimi nataka wale wajukuu wa malkia wadhalilishwe tena, maana magazeti na mitandao inawapamba week nzima, juzi wamekojozwa na iceland na hakuna alieriport 🤣🤣
 
👏🏻👏🏻👏🏻 Mimi nataka wale wajukuu wa malkia wadhalilishwe tena, maana magazeti na mitandao inawapamba week nzima, juzi wamekojozwa na finland na hakuna alieriport 🤣🤣
wangireza wamewekeza kweny propaganda za vyombo vya habari na kukuza majina ya wachezaji wao tu ila Ndani ya field ni weupe kabisa wee timu Had inaita wachezaji wa palace na Fulhama hamna timu pale
 
Yan mashabiki wa england hasa wa tz hawana akili, wametawaliwa n akili za kikoroni, rashford, saka, sancho watanisaidia kwenye hili…

Walivuja jasho kwa ajiri ya taifa lao zen wakaishiwa kubaguliwa na kutukanwa vibaya kisa rangi zao..

They hate us, they dont want us to be a part of them, its such a shame for full grown man like you kuja hapa n gazeti kubwa kuandika story za hao jamaa…

Na wakichukua euro y mwaka huu, nabadili jina langu na kujiita mbwa..
Match 5 wameshinda moja tuu, last match before tournament wamepigwa na iceland.. taifa number 72 huko kwa ubora wa soka 🤣🤣🤣

Ebu tutoleen ushuzi wenu huko, eti vijukuu vya malkia, malkia hana wajukuu zero brain km nyie..

Mngesupport France kidogo ningewaelewa, gud night 🥱
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…