UEFA EURO 2024: Special Thread | Final: FT: Spain 2-1 England (Spain aibuka bingwa)

UEFA EURO 2024: Special Thread | Final: FT: Spain 2-1 England (Spain aibuka bingwa)

Nafikiria DSTV ataungana na ETV ya majizo kumuharibia biashara AZAM TV ambae ameponea kurusha matangazo haya kupitia ZBC 2.
JE KINGAMUZI KIPI WANAONYESHA MICHUANO HII NA PACKAGE ZIMEKAAJE
 
Germany kesho atafunga goli nne kwa moja au mbili.
Kwenye mkeka over 3.5 single bet unaweka elfu hamsini, Kuna odds 2.65.
Germany ashinde Goli nne kwa kikosi Gani walichonacho ngoja tusubir tuone nini kitatokea ila Germany naona ni moja kati ya Taifa litafanya vibaya sana kweny hii michuano
Tbc hii ambayo katikati ya mechi unaletewa hotuba za MASHAKA BITEKO na NISHATI SAFI YA KUPIKIA.
SIWAAMINI TBC ASEEE
 
Ndoo lazima iende paris
C_était un bon moment --___FiersdetreBleus(JPG)_5.jpg
 
Kaka kunradhi nimeona havertz ndio anaanza pale mbele hebu ngoja tuone,mkeka nime u cancel😂😂🙆‍♂️
Bora ufanye ivyo Germany kapoteana sana kuna game alicheza na Turkish mechi ya kirafi walichapwa kama watoto juzi tu apa katoka kucheza game ya kirafiki na Greece kashinda kwa mbinde kweli ila kwa leo sababu wapo Munich wanaweza kuishinda ila wa sctoshi sio wakuchakulia poa kabisa
 
Mimi nitafurahi kama France ikibeba Euro au Germany.
Ila isiwe kwa penalty shoot out kama England vs Italy last time.
 
Back
Top Bottom